Huyu James Mfugale anaetafutwa mitandaoni kafanyaje?

Kitabu ukikisoma ndipo utaelewa kilichopo ndani yake ,upole na wizi havina uhusiano wowote
 
Mkuu John Mfugale yupi tena?
Maana mimi John Mfugale ninayemjua ni mtoto wa kishua kishenzi,
Dingi yake alishawahi kuwa kigogo wa Idara ya maji.
Wana na undugu na yule Mfugale wa Peacock,
 
Weka picha yawekana kunadonge nono kwa atakae mfichua alipo.kitaa kunawatu wapya walikuja ckukuu.
 
Nimesikia kwenye habari za biashara clouds leo wakulima huko Masasi wameunda tume yao kwenda kumuona rais na mkulima mmoja alikuwa akiwalaumu viongozi wanaowazibia. Anasema nao wanataka wauze korosho zao waweze kuwasomesha wototo wao ili nao waje waibe kama watendaji wa sasa.
Hiyo kauli imenistua sana lakini kiuhalisia inabeba maana halisi ya jinsi mwananchi wa kawaida anavyowaangalia wasomi kwa hivi sasa. Hivyo tusioelewa tuendelee kujidanganya kwa kudhani kuwa wezi ni wale wanaovaa nguo chafuchafu!
Mkuu John Mfugale yupi tena?
Maana mimi John Mfugale ninayemjua ni mtoto wa kishua kishenzi,
Dingi yake alishawahi kuwa kigogo wa Idara ya maji.
 
image.jpg
Baba yake ni kigogo mmoja wa serikali zilizopita.
Anatuhumiwa kwa kufanya kosa.
 
Nimesikia kwenye habari za biashara clouds leo mkulima mmoja huko Masasi akiwalaumu viongozi wanaowazibia. Anasema nao wanataka wauze korosho zao ili waweze kuwasomesha wototo wao nao waje waibe.
Hiuyo kauli imenistua sana lakini kiuhalisia inabeba maana halisi ya jinsi mwananchi wa kawaida anavyowaangalia wasomi kwa hivi sasa. Hivyo tusioelewa tuendelee kujidanganya kwa kudhani kuwa wezi ni wale wanaovaa nguo chafuchafu!

Haaaahaaaa,
Mkuu Lukindo kwa hiyo John Mfugale ndiyo mhusika wa hiyo mishe?
Daaaaah huyu John amekutwa na nini tena!
:eek::eek::eek::eek::eek::eek::eek:
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom