Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
wakuu nisaidieni kuna huyu jamaa nafahamiana nae kama mshikaji mtaani sasa kuna manzi mmoja wa mtaani kwao nmebahatika kuwa nae mimi!
tatizo linakuja pale binti ananisumbua kwamba jamaa anamtaka....nimejaribu kumwambia binti amalize hayo mwenyewe ila anahitaji msaada wangu maana kamwambia jamaa kwamba ananipenda ila mchizi haelewi!
imefikia hatua jamaa ananichafua jina kwamba nina wanawake wengine na kwa status yangu mimi siwezi kuwa na priority na mwanamke kama yeye!
nimejaribu kupotezea ila nahisi itakula kwangu maana huyu mwanamke nina malengo naye sasa wadau Nishaurini serius je kwenye hali kama hii nichukue maamuzi gani nisikosee?
Ni ishu siriaz tafadhali!
tatizo linakuja pale binti ananisumbua kwamba jamaa anamtaka....nimejaribu kumwambia binti amalize hayo mwenyewe ila anahitaji msaada wangu maana kamwambia jamaa kwamba ananipenda ila mchizi haelewi!
imefikia hatua jamaa ananichafua jina kwamba nina wanawake wengine na kwa status yangu mimi siwezi kuwa na priority na mwanamke kama yeye!
nimejaribu kupotezea ila nahisi itakula kwangu maana huyu mwanamke nina malengo naye sasa wadau Nishaurini serius je kwenye hali kama hii nichukue maamuzi gani nisikosee?
Ni ishu siriaz tafadhali!