Huyu Jamaa yangu Anamtongoza Mpenzi/Mchumba wangu ilhali kaambiwa ana mtu!

Ryzen

JF-Expert Member
Dec 6, 2012
7,305
8,655
wakuu nisaidieni kuna huyu jamaa nafahamiana nae kama mshikaji mtaani sasa kuna manzi mmoja wa mtaani kwao nmebahatika kuwa nae mimi!

tatizo linakuja pale binti ananisumbua kwamba jamaa anamtaka....nimejaribu kumwambia binti amalize hayo mwenyewe ila anahitaji msaada wangu maana kamwambia jamaa kwamba ananipenda ila mchizi haelewi!

imefikia hatua jamaa ananichafua jina kwamba nina wanawake wengine na kwa status yangu mimi siwezi kuwa na priority na mwanamke kama yeye!

nimejaribu kupotezea ila nahisi itakula kwangu maana huyu mwanamke nina malengo naye sasa wadau Nishaurini serius je kwenye hali kama hii nichukue maamuzi gani nisikosee?

Ni ishu siriaz tafadhali!
 
wakuu nisaidieni kuna huyu jamaa nafahamiana nae kama mshikaji mtaani sasa kuna manzi mmoja wa mtaani kwao nmebahatika kuwa nae mimi!

tatizo linakuja pale binti ananisumbua kwamba jamaa anamtaka....nimejaribu kumwambia binti amalize hayo mwenyewe ila anahitaji msaada wangu maana kamwambia jamaa kwamba ananipenda ila mchizi haelewi!

imefikia hatua jamaa ananichafua jina kwamba nina wanawake wengine na kwa status yangu mimi siwezi kuwa na priority na mwanamke kama yeye!

nimejaribu kupotezea ila nahisi itakula kwangu maana huyu mwanamke nina malengo naye sasa wadau Nishaurini serius je kwenye hali kama hii nichukue maamuzi gani nisikosee?

Ni ishu siriaz tafadhali!
Ungekua umeshamuoa ningekupa ushauri mzuri
 
wakuu nisaidieni kuna huyu jamaa nafahamiana nae kama mshikaji mtaani sasa kuna manzi mmoja wa mtaani kwao nmebahatika kuwa nae mimi!

tatizo linakuja pale binti ananisumbua kwamba jamaa anamtaka....nimejaribu kumwambia binti amalize hayo mwenyewe ila anahitaji msaada wangu maana kamwambia jamaa kwamba ananipenda ila mchizi haelewi!

imefikia hatua jamaa ananichafua jina kwamba nina wanawake wengine na kwa status yangu mimi siwezi kuwa na priority na mwanamke kama yeye!

nimejaribu kupotezea ila nahisi itakula kwangu maana huyu mwanamke nina malengo naye sasa wadau Nishaurini serius je kwenye hali kama hii nichukue maamuzi gani nisikosee?

Ni ishu siriaz tafadhali!
vp shule mnafungua lin??
 
Back
Top Bottom