Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Mumpigie debe mzee wa tafakuri baada ya habari ndani ya runinga yetu pendwa angalau awe katibu tawala wa mkoa wa singida tu.
Huyu jamaa nimekuwa nikimsikia mara kwa mara kwenye runinga hata watu mitaani huwa wanamzungumzia kuwa jamaa kazidisha kumsifia mkuu sanaa, na imeonekana kama anafanya mzaha au kumkejeli au kumukomorya ( kumug'oka) mzee kisogoni.
Yaani utasikia anavyotamka jina la mkubwa kwa kukandamiza hivi, mara kilikwenda kikarudi mara walaaaa walaaaa walaaa na braaaa braaa nyingi.
Si aongee tu kawaida bila hata kumtaja mkuu, kwani kusema uongozi wa awamu ya tano atapungukiwa nini?
Mumpelekeee hii taarifa kuwa apunguze kumtaja taja na kumsifia mkuu kama vile kejeli. Yawezekana mkuu nae huwa hapendi kusifiwa sifiwa hovyo. Ni mtu ambaye hapendi aonekane yuko juu hicho ndicho nampendea mkuu wetu.
Asanteni
Huyu jamaa nimekuwa nikimsikia mara kwa mara kwenye runinga hata watu mitaani huwa wanamzungumzia kuwa jamaa kazidisha kumsifia mkuu sanaa, na imeonekana kama anafanya mzaha au kumkejeli au kumukomorya ( kumug'oka) mzee kisogoni.
Yaani utasikia anavyotamka jina la mkubwa kwa kukandamiza hivi, mara kilikwenda kikarudi mara walaaaa walaaaa walaaa na braaaa braaa nyingi.
Si aongee tu kawaida bila hata kumtaja mkuu, kwani kusema uongozi wa awamu ya tano atapungukiwa nini?
Mumpelekeee hii taarifa kuwa apunguze kumtaja taja na kumsifia mkuu kama vile kejeli. Yawezekana mkuu nae huwa hapendi kusifiwa sifiwa hovyo. Ni mtu ambaye hapendi aonekane yuko juu hicho ndicho nampendea mkuu wetu.
Asanteni