Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
My Take:
Sijui kama nimeridhika kuwa amekanusha kuwa Synovate haikufanya inachodaiwa kufanya. Maana nasikia ndio sababu hawakutaka kwenda EATV ambako walikuwa wawepo kwa sababu JamiiForums nayo ilikuwa kule.
Last edited by a moderator: