Huyu jamaa ni nani?

Huyu jamaa siku ya kupiga kura Kenya alienda na Makande (githeri) kwa sababu aliwai foleni na akuweza kunywa chai!. Kuna mtu akampiga picha na kupost ktk mitandao ya jamii,baada ya masaa kadhaa likawa tukio kubwa zaidi kuliko ata uchaguzi wenyewe.Jamaa mpaka sasa amekuwa serebrit huko kenya na ameshapewa zawadi za mamilioni pamoja na kiwanja Mjini Nairobi.Kabla ya hapo kazi yake ilikuwa ni mfagiaji wa jiji la Nairobi
Watu na bahati zao
 
Huyu jamaa siku ya kupiga kura Kenya alienda na Makande (githeri) kwa sababu aliwai foleni na akuweza kunywa chai!. Kuna mtu akampiga picha na kupost ktk mitandao ya jamii,baada ya masaa kadhaa likawa tukio kubwa zaidi kuliko ata uchaguzi wenyewe.Jamaa mpaka sasa amekuwa serebrit huko kenya na ameshapewa zawadi za mamilioni pamoja na kiwanja Mjini Nairobi.Kabla ya hapo kazi yake ilikuwa ni mfagiaji wa jiji la Nairobi
aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku sio nyingi alipata deal ya kusaini kwenye kampuni ya chakula huko kenya kwa ajili ya matangazo...vilevile kampuni ya safaricom ilimzawadia simu ya kisasa ya samsunh galaxy S8+ yeye na familia yake.. Ni mzee wa maisha ya kawaida huko kenya ana miaka 41 ana mke na mtoto mmoja..Ni mfagizi/mfanya usafi ILA SASA HIVI MAMBO SAFI MUNGU KAMBARIKI MAISHA YAMEBADILIKA

source. JF KENYA FORUM

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
41 years is still too young bro!!

-Domhome-
 
Huyu jamaa siku ya kupiga kura Kenya alienda na Makande (githeri) kwa sababu aliwai foleni na akuweza kunywa chai!. Kuna mtu akampiga picha na kupost ktk mitandao ya jamii,baada ya masaa kadhaa likawa tukio kubwa zaidi kuliko ata uchaguzi wenyewe.Jamaa mpaka sasa amekuwa serebrit huko kenya na ameshapewa zawadi za mamilioni pamoja na kiwanja Mjini Nairobi.Kabla ya hapo kazi yake ilikuwa ni mfagiaji wa jiji la Nairobi
"serebrit"...Celebrity✓

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
e5c9a4f7b8ebf1c836ba3851b9f646d5.jpg


746cb16225ed49c78813aea4deb5e234.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Pesa nyoko aisee, jamaa hata mwezi haujaisha keshangaaa kiasi hicho?
 
Asante kwa kujua hilo. Ila nililojifunza zaidi kwa threads hii ni kuwa sasa nimepoteza imani na picha baada ya kuona jinsi mafotoshop yanavyowezekana.
Picha ya kwanza alitokea na githeri kwenye line ya kupiga kura ndiyo ikaenda viral wadau wakaanza kumfanyia photoshop akiwa na mastaa wa dunia ndiyo akatrend zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom