Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,316
Kwenye Matangazo ya pombe mwishoni kuna sauti nzito ya njemba moja sijui ni nani anasemaga ...."Kunywa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako"....
Anazingua sana anawapa cha kusema wake zetu, siku ukiamua kitulia home bahati mbaya tangazo likatoke basi ikifika hiyo sehemu kama ni TV au Radio basi inaongezwa sauti hata kama uko bize ujumbe utauskia tu.
Kama Pombe ni hatari waache basi kutuuzia pambaf kabisa!!
Anazingua sana anawapa cha kusema wake zetu, siku ukiamua kitulia home bahati mbaya tangazo likatoke basi ikifika hiyo sehemu kama ni TV au Radio basi inaongezwa sauti hata kama uko bize ujumbe utauskia tu.
Kama Pombe ni hatari waache basi kutuuzia pambaf kabisa!!