Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,663
Utaharibiwa shauri yako!Sasa huyu kaka kabla hajakamatwa si angenipa mm walau ata million kumi tu jaman.mihela yote na migari yote imetaifishwa........sjui Kama ata aliwasaidia ukoo wake vzuri
Utaharibiwa shauri yako!Sasa huyu kaka kabla hajakamatwa si angenipa mm walau ata million kumi tu jaman.mihela yote na migari yote imetaifishwa........sjui Kama ata aliwasaidia ukoo wake vzuri
Jamaa alikuwa atandiki code,yeye alikuwa ananunua scripts za Python toka Hungary na Pakistan huko anawanyoosha wazungu,why usumbuke mkuu?? Nunua scripts uingie mzigoni fasta.Coding itakuchukuwa zaidi ya 5 yrs Kuwa master
Mkuu hii habari nimechukua CNN Jana unless Niko outdatedduh umechelewa kuipata hii habari.
Mapacha walikuwa kati ya rapper ambao nawakubali sana ngoma zao, kuanzia ujumbe au style ya kughani.Aisee....
Mpaka nimem'kumbuka K Wa Mapacha...
Kweli kabisa.Ulimbukeni tabu sana.
Kuna watu wamepiga zaidi, hawajulikani, wanakula kwa ubua.
All in all, crime does not pay.
Yani kwangu ni bora kuwa na hela ya halali ambayo inakufanya unaishi kwa raha bila magutu.
Ukishaibia watu hela hata maisha yako yanakuwa ya magutu magutu muda wote.
Ulimbukeni tabu sana.
Kuna watu wamepiga zaidi, hawajulikani, wanakula kwa ubua.
All in all, crime does not pay.
Yani kwangu ni bora kuwa na hela ya halali ambayo inakufanya unaishi kwa raha bila magutu.
Ukishaibia watu hela hata maisha yako yanakuwa ya magutu magutu muda wote.
Mapacha walikuwa kati ya rapper ambao nawakubali sana ngoma zao, kuanzia ujumbe au style ya kughani.
Kwa level yako sikutegemea uchangie ivi, kuna watu wanaongoza kutapeli kama Hao whites uko? Mana wewe sijui ukisema crime sijui unamaanisha nini mana hata mikataba tu ya nchi zetu na ukoloni vyote ivo ni crime, Ngombe wanazaliwa kila sikuUlimbukeni tabu sana.
Kuna watu wamepiga zaidi, hawajulikani, wanakula kwa ubua...
Pamoja sana...Mapacha walikuwa kati ya rapper ambao nawakubali sana ngoma zao, kuanzia ujumbe au style ya kughani.
Kwa level yako sikutegemea uchangie ivi, kuna watu wanaongoza kutapeli kama Hao whites uko? Mana wewe sijui ukisema crime sijui unamaanisha nini mana hata mikataba tu ya nchi zetu na ukoloni vyote ivo ni crime, Ngombe wanazaliwa kila siku
Kuna lavish life, halafu kuna "death wish on Instagram".I second you mkuu Ila I know alot of cats walio-come into fortune kwa magumashi but still live lavish life
Hata mwizi, akiiba akakimbizwa akiona anazidiwa huwa wanakimbilia kituo cha polisi, wakati mwingine vyombo vya Dola huwa msaada mkubwa kwenye baadhi ya situationsKuna lavish life, halafu kuna "death wish on Instagram".
Kwa hashuo zile za Hushpuppi hata kama hela ya urithi baba yako Bakhressa, kujianika vile ni kuanika watu waje kuku kidnap kama Mo.
Huyo Mo hajioneshi vile na watu wamemkidnap.
Hawa jamaa wamefanya ulimbukeni kiasi kwamba hata kama hela zao zilikuwa legitimate, kujianika vile ni kujiongezea risk ya vitu kama kuwa kidnapped.
Granted, huko kwao wanaweza kuwa wanajulikana na wana channel zote za wahuni, lakini kimataifa huwezi kushika channel zote.
Kibaya zaidi, maisha ya mazishi, ukishawatapeli watu wengi, wengine wanakufuatilia, wanaweza hata kukuchukulia contract kwa hitman aje akuue.Ushawaibia watu mamilioni ya dola?
Kwa hiyo, ashukuru ameshikwa na mkono wa sheria.
Kuna Wanigeria wawili waliwatapeli ma drug dealers wa Mexico. Wale ma Don wakashtuka wamepigwa. Wakaitumia tamaa ya Wanigeria kuwanasa. Wakamwambia njooni Mexico City tupige deal kubwa zaidi, wakawatajia kidau kikubwa.
Wanigeria wakakubali.
Walichowawafanyia siwezi kusahau.
Unajua unavyochoma nyama mshikaki? Kuna ile spike halafu unaweka nyama unachoma? Wa Mexico walimuweka hivyo hivyo katika spike wakawa wanamchoma nyama polepole.
Story na picha zipo hapa kwenye forum kama JF ya WaNigeria.
https://www.nairaland.com/4862935/nigerian-yahoo-boys-roasted-death
hahahah huyo si hata benpol alimchomea nyama, hebu toa ujinga wakoHuyu jamaa jinsi alivyokuwa Nyoko alimchukua yule mchoma nyama maarufu wa dunia 'Kama ushawahi kuona zaltan Ibrahimovic, cr7 na mastaa wengine wa dunia wakichomewa nyama" jamaa alimtafuta na kufanyiwa manjonjo na jamaa kifupi jamaa aliishi maisha ya Pesa chafu hatari
Hata kama ila salt bae siyo wa mchezo mchezohahahah huyo si hata benpol alimchomea nyama, hebu toa ujinga wako
Sent from my MI NOTE Pro using JamiiForums mobile app
Kwakweli nimeingia huko Instagram,amefaidi km ni kufaidi tuHatujui mkuu, maybe aliwasaidia. Ila kama anasa za ulimwengu huu tu, amezifanya