nyboma
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 2,199
- 6,890
Niliishia form IV mkuuUlisoma mambo gani mkuu?
Niliishia form IV mkuuUlisoma mambo gani mkuu?
Sawa mkuuDuuuu huyo mwamba shule haimpendi kabisa awaachie wanae waje kutimiza hiyo ndoto yake aisee
Then ukasoma vitu gani?Niliishia form IV mkuu
Ujasiliamali bossThen ukasoma vitu gani?
Udsm hakunaga units za 3, ni 8 au 12Kwema wasomi?
Kuna jamaa angu ni in service wa halmashauri moja hapa Tanzania, mwaka 2019 alinifuata kuniomba ushauri wa program na chuo cha kusoma hapa Tanzania, kwa uelewa wangu kiasi niliokua nao kwa kipindi hicho,nikamahauri ni Bora atafute chuo cha private walau huko kunakua na unafuu na angalau hata jiumiza sana ukizingatia ni mtu mzima kiasi(38+),yeye akaona kama namzibia ridhiki coz ndoto zake zilikua kusoma uchumi udsm,kweli akaomba chuo akapata udsm BA ECONOMICS. Mwaka wa kwanza umeenda vizuri kiasi,mwaka wa pili umekua mbaya sana,kwani kapigwa discontinue,so hapa kanitumia matokeo yake ili nijaribu kumshauri nini cha kufanya.anasema anaona hata aibu kumwambia mkewe kuwa kaliwa kichwa huko chuo.
Matokeo yake nitayaweka hapa ili mtoe mawazo yenu wakuu coz mimi binafsi nimemshauri aachane na mambo za kusoma kwa sasa aangalie maisha yake na familia yake tu.
View attachment 1974214
Apo mzazi kauza ng'ombe kasomesha ng'ombe ingineNa mzazi wake anajua kuwa ng'ombe alizo uza zinafanywa hivyo
Walikula kichwa mkuu, pole sanaMshauri aachane na shule maana hata mimi ilinishinda hivyo
Mbona sasa mmeyapatia maisha? Shule nini bana kha!Kumbe tupo wengi wenye aleji na shule?
Mbona sasa mmeyapatia maisha? Shule nini bana kha!
Wew hii mada ilikuwa haikuhusu kabsaaaaaaa !!!Ujasiliamali boss
Kwanini boss wanguWew hii mada ilikuwa haikuhusu kabsaaaaaaa !!!
Haya maisha unaweza hustle shule Kumbe Mungu amepanga tobo lako lipo kwenye udereva bajaji.Walikula kichwa mkuu, pole sana
Maisha hayaApo mzazi kauza ng'ombe kasomesha ng'ombe ingine
Nyie kusomaUtu uzima dawa ila hapa naona dawa imeshindwa kufua dafu
🤣🤣🤣 Watu hampendi nifanikiwe badala mnipe pole ninyi mnanikandamiza😭😭😭@kasomi kumbe ni mbwembwe tu
Kikubwa kutoboa maishaWatu hampendi nifanikiwe badala mnipe pole ninyi mnanikandamiza
Shikamoo shule.Kumbe tupo wengi wenye aleji na shule?
Kweli kabisa shule zipo kufilisi tu.IiKikubwa kutoboa maisha
kwanza shule zina wenyewe wengine nyota zao ni kuchunga mbuzi na biashara huko tusforce mamboKweli kabisa shule zipo kufilisi tu.
Mfano huyo aliye letwa kama mada hizo hela za ada angezifanyia kazi ingine si ingekuwa swala zuri