<br />Mi naona 2 wa2 wanashauri cjaelewa ht kidogo!! cjui KUMASK ILE TREE YAKE mara UBUNTU cjui ....... m2 akitoa thread afunguke bhana cyo anafila fila maneno.
yahe kumbe weye fikra zako pana kazitanua nani? naomba na miye nikutanue fikra.<br /><br />
<br /><br />
Doh huu mtandao haukufai bana...Hapa ni kwa wale tunaoitwa "Wanadamu wenye fikra pana" . ..Umepotea njia nenda Facebook au Twitter huko ndiko kunakufaa.<br />
MCHANGO..doh unapenda NGOCHI(kavu kavu) KWA NGOCHI,nenda taratibu maana mwendo kasi noma au ukijaza sana utazama...Magonjwa ni mengi ndugu,au hutaki kushuhudia mapinduzi ya mara ya pili Tz yakiongozwa na CHADEMA.