Huyu Issa Bin Mariamu ni nani? Uhusika wake ukoje?

Kama wewe unaasema Muhammad sio mtume toa andiko katika Quran linalosema Muhammad sio mtume wa Mungu

Vitabu vya hadithi vimeandikwa na watu ndio maana waislam tuna hadithi sahihi na hadithi ambazo sio sahihi

Pia kwa muislam kuamuni kilicho andikwa katika kitabu chochote cha hadithi ni option sio lazima maana hivyo vitabu vimepita katika mikono mingi



ACHA KUZUGA JIBU SWALI

Mnasema paulo utume amepewa na Yesu sasa mbona mafundisho yake yanapingana na Yesu?

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Yesu anakataa kuwa yeye sio Mungu bali yeye ametumwa na Mungu na ukiamini hayo ndio utapata uzima wa milele

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Hapa kwanza Yesu ana ndugu zake inamaana yeye ni bina adamu

Pia anasema Mimi wewe na yeye Yesu mwenyewe Mungu wetu ni mmoja

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Iweje nyinyi wagalatia msiamini na kufuata mafundisho ya Yesu badala yake mnafuata maneno ya mtume wa uongo Paulo?

Sent using Jamii Forums mobile app
MTUME WA UONGO HUYU HAPA

Nani Mkweli kati ya khadija na Muhammad? Na je anayetoa utume ni Mke ama MWENYEZI MUNGU? WAPI KHADIJA ALIKUWAKO PANGONI 17/12
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

Muhammad alisema Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani katika pango na kuniharibu akili yangu na kunizuga lakini mkewe khadija akasema hujachezewa na shetani bali Naapa UMESHAKUWA mtu wa uma huu :
Kitabu cha wakeze Mtume Wakubwa Na Wanawe Ukrasa 13-14




 
Kama wewe unaasema Muhammad sio mtume toa andiko katika Quran linalosema Muhammad sio mtume wa Mungu
QUR'AN SI MANENO YA MWENYEZI MUNGU KWA SABABU UTHMAN BIN AFFAN NA ZAID BIN THABIT WALICHOMA QURAN ZOTE ZA WAKATI WA MUHAMMAD KISHA WAKAJITUNGIA KITABU KIPYA KWA KUPITIA UTHMAN BIN AFFAN NA ZAID BIN THABIT
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

QURAN YA MUHAMMAD HAIPO MAANA UMAR BIN KHATTAB, ABU BAKR NA ZAID BIN THABIT WALIKUSANYA BAADHI TU YA AYA NA SURA ZA QURAN ZIKINGINE ZILIKUWA ZIMESHAPOTEA NA KULIWA NA WANYAMA WAO KUFUGWA

WAKATI WA UHAI WA ABU BAKR TOKA MWAKA 573 HADI 23 /8/ 634 ALIPOFARIKI MUHAMMAD MWAKA 632 MASWAHABA WENGI WALIKUFA VITANI WALIOKUWA WAMEHIFADHI QURAN KWENYE VIFUA VYAO NDIPO ABU BAKR WAKIWA NA UMAR BIN KHATTAB WAKAAMULISHA QURAN AIKUSANYE ZAID BIN THABIT NA KUIANDIKA KWENYE MSAAFU UPYA KWA SABABU QURAN ILIKUWA IMEPOTEA KWA WATU WALIOULIWA VITANI

Zaid bin Thabit (ra) amesimulia kuwa :

وَعَنْ زَيْدِ بْنِ ثَابِتٍ قَالَ: أَرْسَلَ إِلَيَّ أَبُو بَكْرٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ مَقْتَلَ أَهْلِ الْيَمَامَةِ. فَإِذَا عُمَرُ بْنُ الْخَطَّابِ عِنْدَهُ. قَالَ أَبُو بَكْرٍ إِنَّ عُمَرَ أَتَانِي فَقَالَ إِنَّ الْقَتْلَ قَدِ اسْتَحَرَّ يَوْمَ الْيَمَامَةِ بِقُرَّاءِ الْقُرْآنِ وَإِنِّي أَخْشَى أَنِ اسْتَحَرَّ الْقَتْلُ بِالْقُرَّاءِ بِالْمَوَاطِنِ فَيَذْهَبُ كَثِيرٌ مِنَ الْقُرْآنِ وَإِنِّي أَرَى أَنْ تَأْمُرَ بِجَمْعِ الْقُرْآنِ قُلْتُ لِعُمَرَ كَيْفَ تَفْعَلُ شَيْئًا لَمْ يَفْعَلْهُ رَسُولُ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ؟ فَقَالَ عُمَرُ هَذَا وَاللَّهِ خَيْرٌ فَلم يزل عمر يراجعني فِيهِ حَتَّى شرح الله صَدْرِي لذَلِك وَرَأَيْت الَّذِي رَأَى عُمَرُ قَالَ زَيْدٌ قَالَ أَبُو بَكْرٍ إِنَّكَ رَجُلٌ شَابٌّ عَاقِلٌ لَا نَتَّهِمُكَ وَقَدْ كُنْتَ تَكْتُبُ الْوَحْيَ لِرَسُولِ اللَّهِ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ فَتَتَبَّعِ الْقُرْآنَ فَاجْمَعْهُ فَوَاللَّهِ لَوْ كَلَّفُونِي نَقْلَ جَبَلٍ مِنَ الْجِبَالِ مَا كَانَ أَثْقَلَ عَلَيَّ مِمَّا أَمَرَنِي بِهِ مِنْ جمع الْقُرْآن قَالَ: قلت كَيفَ تَفْعَلُونَ شَيْئا لم يَفْعَله النَّبِيُّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ. قَالَ هُوَ وَاللَّهِ خير فَلم أزل أراجعه حَتَّى شرح الله صَدْرِي للَّذي شرح الله لَهُ صدر أبي بكر وَعمر. فَقُمْت فَتَتَبَّعْتُ الْقُرْآنَ أَجْمَعُهُ مِنَ الْعُسُبِ وَاللِّخَافِ وَصُدُورِ الرِّجَال حَتَّى وجدت من سُورَة التَّوْبَة آيَتَيْنِ مَعَ أَبِي ...
صَحِيح (الألباني) حكم :
Mishkat al-Masabih 2220 Kitabu cha 8, Hadithi 110

1622473875500.png

1622473902476.png
 
Kama wewe unaasema Muhammad sio mtume toa andiko katika Quran linalosema Muhammad sio mtume wa Mungu

Vitabu vya hadithi vimeandikwa na watu ndio maana waislam tuna hadithi sahihi na hadithi ambazo sio sahihi

Pia kwa muislam kuamuni kilicho andikwa katika kitabu chochote cha hadithi ni option sio lazima maana hivyo vitabu vimepita katika mikono mingi



ACHA KUZUGA JIBU SWALI

Mnasema paulo utume amepewa na Yesu sasa mbona mafundisho yake yanapingana na Yesu?

Tito 2:13
tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Kristo Yesu, Mungu mkuu na Mwokozi wetu;

Yesu anakataa kuwa yeye sio Mungu bali yeye ametumwa na Mungu na ukiamini hayo ndio utapata uzima wa milele

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Hapa kwanza Yesu ana ndugu zake inamaana yeye ni bina adamu

Pia anasema Mimi wewe na yeye Yesu mwenyewe Mungu wetu ni mmoja

Yohana 20:17
Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

Iweje nyinyi wagalatia msiamini na kufuata mafundisho ya Yesu badala yake mnafuata maneno ya mtume wa uongo Paulo?

Sent using Jamii Forums mobile app
17.Baada ya Yesu kusema maneno hayo, alitazama mbinguni na kuomba, “Baba, wakati umefika. Mpe utukufu Mwanao ili Mwanao naye akupe wewe utukufu. 2 Ulimpa Mwana mamlaka juu ya watu wote ili awape uzima wa milele wale wote uliompa. 3 Na uzima wa milele ndiyo huu: kwamba watu watakujua wewe, Mungu pekee wa kweli, na kwamba watamjua Yesu Kristo, Yeye uliyemtuma. 4 Mimi nimeimaliza kazi uliyonipa niifanye. Nami nimekupa utukufu duniani. 5 Sasa, Bwana, unipe utukufu wako niwe nao pamoja nawe, utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya kuumbwa ulimwengu.

hii Yohana 17:3 ukiendelea ule mstari wa 5 yesu anasema unipe utukufu niwe pamoja nawe ule utukufu niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya kuumbwa ulimwengu. hii inathibitisha kuwa yesu ni mungu na alikuwepo na baba kabla dunia kuumbwa. so umeamua kuchukua kipande tu cha mstari kupotosha. pia umeruka verse ya nyuma yake inayoelezea kua yesu ni mwana wa mungu.

Yohana 20:17 je hii verse unakubaliana nayo kwanza? maana yake kwanza unakubali kuwa yesu alifufuka na pia unakubali concept ya kwamba kuna mungu baba na mwana, kwa maana yesu alisema anarudi kwa baba. quran inasema Allah hawezi kuwa na mwana.
 
Wewe kilaza tu Musa ya Yesu wamepisha miaka 1500 kwa hiyo katika nchi yote ya Israel kwa miaka yote hiyo 1500 hapajawahi tokea watu wengine wenye majina ya Imran na Haruni zaidi ya hao waliokuwepo kipindi cha Musa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ulishindwa kuthibitisha , story ya Muhammad kukosea ku copy ipo ata Aisha mke mtoto wa Muhammad alimwambia ameongea Jewish women na kamwambia amekosea majina ikibidi Muhammad akomae na hayo majina maana angebadili ingeua uislamu mda ule ule
Ali mess up alipochanganya Mariam na Miriam
 
anakufa na kufufuka alikuwa almost 28 YEARS AROUND 33 AD

jukumu hili alipewa na Yesu, on the way to Damascus na hakuwa mwenyewe alikuwa na wenzake pia aliweza kukutana na wanafunzi wa yesu nao wakakubaliana naye
Ushahidi ndiyo ambao nina utaka hapa.
Nikuulize wew kwani Muhammad jukumu alilopewa la utume alipewa na nani wakati alikuwa mwenyewe kwenye pango nani alikuwa shahidi?
Hili nitakujbi baada ya wewe kuweka ushahidi wa swali nililo kuuliza.


vitabu vya kusoma ni Annals cha Tacitus kiliandikwa mwaka 115 AD chapter 44, Antiquities of Jews cha Josephus
Safi kabisa hapa ndipo napopataka mimi. Huyu muandishi wa mwaka 115AD,marejeo yake ni wapi...?
mitume wa yesu ni pamoja na wanafunzi wake, pamoja na wote wanaoamini katika kufa na kufuka kwa kristo kwa ajili ya Dhambi za wanadamu nikimaanisha wakristo. utume huo tumepewa na
Hu uongo mwingine. Nani amesema ya kuwa mitume wa Yesu ni wanafunzi wake,kadhalika ni wanafunzi wake ? Maana hii ya Utume amesema nani ?
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
Haya maneno yanatoka kwenye kinywa cha nani na owa idhini ya nani na ushahidi uko wapi ?
 
Ibin Kathir katika tafsir yake anasema wajumbe hao ni Yohana, Simoni na Paulo.

Na hapa namnukuru ibn Kathir.

قال ابن جرير عن وهب بن سلمان عن شعيب الجبائي قال كان اسم الرسولين الأولين شمعون ويوحنا واسم الثالث بولص والقرية انطاكية فقالوا » أي لأهل تلك القرية « إنا إليكم مرسلون » أي من ربكم الذي خلقكم يأمركم بعبادته وحده لاشريك له قاله أبو العالية وزعم قتادة أنهم كانوا رسل المسيح عليه السلام إلى أهل انطاكية « قالوا ما أنتم إلا بشر مثلنا » أي فكيف أوحي إليكم وأنتم بشر ونحن بشر فلم لا أوحي إلينا مثلكم ولو كنتم رسلا لكنتم ملائكة وهذه شبهة كثير من الأمم المكذبة كما أخبر الله تعالى عنهم في قوله عز وجل « ذلك بأنه كانت تأتيهم رسلهم بالبينات فقالوا أبشر يهدوننا »

Imesimuliwa na Ibn Jurayj kutoka kwa Wahb bin Sulayman, imepokelewa na Shu`ayb Al-Jaba’i, “Majina wajumbe wawili wa waliotumwa mwanzo ni Simoni na Yohana na jina la wa tatu ni Paulo. Na mji huo ulikuwa Antiokia” , and the city was Antioch. Na wakasema (kwa watu wa mji huo) “hakika sisi tumetumwa kwenu kama wajumbe”, hii ina maanisha “Wajumbe kutoka kwa Allah aliyewaumba nyinyi na anayewaamrisha mumwabudu yeye peke yake na msimfanyie washirika.” Qatada amesema walikuwa ni wajumbe wa Masihi Isa bin Maryam (a.s) waliotumwa kwa watu wa Antiokia. Wakasema “Ninyi ni wanadamu kama sisi…ni kwa vipi munaweza kupokea ufunuo wakati nyie ni wanadamu na sisi tu wanadamu kama nyie, kwanini sisi hatupokei ufunuo kama nyie?” hivi ndivyo ilivyokuwa kwa watu wa mataifa mengine walivyosema ‘hatuamini’, kama vile Allah anavyotuambia katika sura ya 64:6 , “Hayo ni kwa kuwa walikuwa wakiwajia mitume wao kwa hoja zilizo wazi, nao wakasema: Hivyo binadamu ndiyo atuongoe? Basi wakakufuru na wakageuka upande. Mwenyezi Mungu akawa hana haja nao…”
Bulus ndiyo Paulo ? Thibitisha hilo ?

Ibn Kathir amemtaja Shamu'n,Yahunna na Bulus. Katika mapokezi mengine amemtaha Sadiq,Saduq na yule wa tatu.

Unajia kusoma Kiarabu mzee ? Hujaonyesha wapi ametajwa Paulo katika nukuu ya Imaam Ibn Kathir,matini inasomeka "Bulus", sasa ndiyo ututhibitishie ya kuwa Bulus ndiyo Paulo. Usipoteze muda.
 
NDIO KICHAKA CHAKO CHA KUKIMBIA MASWALI, NDIO MAANA NIMEKWAMBIA BAADA YA KUJIBIWA, UKAZALISHA MADA MPYA

SO ANZISHA UZI KUHUSU WAANDISHI, HUWEZI KUNITOA NJE YA MADA KIUJANJA
Wapi umenitajia majina ya waandishi wa vitabu hivyo ? Hilo ndiyo swali langu kuu.

Sasa niambie umeyataja wapi hayo majina nikayasome.
 
Wapi umenitajia majina ya waandishi wa vitabu hivyo ? Hilo ndiyo swali langu kuu.

Sasa niambie umeyataja wapi hayo majina nikayasome.
Usitoke nje ya mada , sio mda wake kutaka waandishi , anzisha nada Yako uombe kujua waandishi
 
Huyo ni mbabaishaji , atakuzungusha kukwepa ukweli, wengine mpaka wamemkana ibn Kathir na kutunga mambo yao huo ndio uislamu wanaruhiaiwa kudanganya kutete dini ya Allah
Nacheka sana. Shughuli yangu unaijua.

Nasubiri majina ya waandishi wa vitabu vya Mwanzo na hesabu na ushahidi juu ya waandishi hao. Mwenzako anadai amenijibu hilo swali,sasa sijui jibu lake liko wapi,kama umeona hilo jibu nionyeshe nikapate faida.
 
Bulus ndiyo Paulo ? Thibitisha hilo ?

Ibn Kathir amemtaja Shamu'n,Yahunna na Bulus. Katika mapokezi mengine amemtaha Sadiq,Saduq na yule wa tatu.

Unajia kusoma Kiarabu mzee ? Hujaonyesha wapi ametajwa Paulo katika nukuu ya Imaam Ibn Kathir,matini inasomeka "Bulus", sasa ndiyo ututhibitishie ya kuwa Bulus ndiyo Paulo. Usipoteze muda.
Ibn Kathir amewashika gonads 😂😂😂
 
Nacheka sana. Shughuli yangu unaijua.

Nasubiri majina ya waandishi wa vitabu vya Mwanzo na hesabu na ushahidi juu ya waandishi hao. Mwenzako anadai amenijibu hilo swali,sasa sijui jibu lake liko wapi,kama umeona hilo jibu nionyeshe nikapate faida.
Sio mada , nakujua hua unapindisha mada jikite kwenye mada ,uhandishi waachie wenye kitabu chao
 
Usitoke nje ya mada , sio mda wake kutaka waandishi , anzisha nada Yako uombe kujua waandishi
Sijatoka nje ya mada huwezi kuniwekea marejeo ambayo wewe mwenyewe huna uhakika nayo.

Wewe uniambie mathalani Yesu ni mungu bila kunipa ushahidi na kujua nani muandishi wa kitabu husika. Maisha yetu tunaishi kuutafuta ukweli.

Kwahiyo usilazimishe kunitoa nje ya mada wakati nipo ndani ya mada.

Nasema hivi tutajieni Rijali wenu walio waletea hizi habari toka kwa Yesu. Hatutaki porojo.
 
Unanipa mashaka sana na uelewa wako...

Umedai İbn kathir ndo kataja hilo jina Bulus,, sasa kwanini uthibitisho utoke Google ? Kwani Google imeandikwa na İbn kathir ?

Nilitegemea ungetumia maandiko ya İbn kathir kuthibitisha kuwa alimaanisha Paulo kwa sababu yeye ndo alitaja hilo jina ( kwa madai yako )
Acha upumbavu basi, wewe ulitaka aandike Paul wakati aliandika Jina kwa kiharabu, stupidity is amazing
 
Ibn Kathir amewashika gonads 😂😂😂
Ibn Kathir ni mwanachuoni wetu,na sijapinga alichokiandika.

Matini ya athari aliyo iweka mwenzako toka kwa Imaam Ibn Kathir,imewataja hao Shamun,Yahunnah na Bulus. Mwenzako anadai kwamba Ibn Kathir amemtaja Paulo. Ndiyo namuuliza matini anayo,wapi ametajwa Paulo,au nyote hamjui kusoma Kiarabu ?
 
Sijatoka nje ya mada huwezi kuniwekea marejeo ambayo wewe mwenyewe huna uhakika nayo.

Wewe uniambie mathalani Yesu ni mungu bila kunipa ushahidi na kujua nani muandishi wa kitabu husika. Maisha yetu tunaishi kuutafuta ukweli.

Kwahiyo usilazimishe kunitoa nje ya mada wakati nipo ndani ya mada.

Nasema hivi tutajieni Rijali wenu walio waletea hizi habari toka kwa Yesu. Hatutaki porojo.
Hatuko na mada ya uhandishi, stay focused
Stupidity is amazing
 
Sio mada , nakujua hua unapindisha mada jikite kwenye mada ,uhandishi waachie wenye kitabu chao
Kwahiyo kutaka ukweli juu ya kitabu cha hesabu au mwanzo nako ni nje ya mada ? Kwahiyo nikubali kile ambacho mnakiweka pasi na nyinyi wenyewe kumjua muandishi wa hicho kitabu ? Haya ni matumizi mabaya ya akili.

Lazima tujue ukweli wa mambo kama ulivyo,na hizi ndiyo njia zake,ndiyo maana mnashindwa sababu waandishi wa vitabu vyenu hawajulikani na maandiko yenu hayafiki kwa mtu wa kwanza,ambaye ni Yesu,sasa mtuambie maandiko yenu mmeyatoa wapi ?
 
Hatuko na mada ya uhandishi, stay focused
Stupidity is amazing
Unaujuaje ukweli wa kitabu cha hesabu au mwanzo pasi na kuhakiki chanzo cha hizo habari zilizomo katika vitabu hivyo ?

Ndiyo maana dini yenu imejaa uongo na ushirikina kwa kukayakalia kimya mambo ya puuzi pasi na kuhakiko habari. Ujinga hui huukuti katika Uislamu.

Nasubiri majina ya waandishi wa hivyo vitabu,kisha tuangalie hayo yametoka kwa nani ili tujue mbivu na mbichi.

Hatuleo ujinga.

Nipo ...
 
Unatatizo la ufikiri hafifu, copy neno Bulus andika Bulus name meaning ka search Google, acheni unafiki , Kuna mwenzako kagundua hilo kamtukana ibn Kathir
Nacheka sana,swali langu ni kuwa wapi Ibn Kathir amemtaja Paulo ?

Mbona hujauliza Yuhunnah na Shamu'un ?

Yaani kipi kimewajulisha ya kuwa Bulus ni Paulo ? Msikimbie swali la msingi.
 
Back
Top Bottom