Huyu Issa Bin Mariamu ni nani? Uhusika wake ukoje?

Umeandika makusudi au umeamua kupotosha? Unajua kuwa Quran iliandikwa miaka mingi baada ya kifo cha Muhammad, kulingana na historia ya Uislam? Sasa alikuwa akiifasiri kwa nmna gani?

Waliokuja kuifasiri si ndio akina Ibn Kathir et al?
Umeandika ujinga mpaka nikapata uvivu wa kukujibu.

Kuifasiri kwa maana alikuwa anawapa maswahaba maana za hizo aya. Inaonekana hata Tafsir ya Ibn Kathir huijui na hujawahi kuisoma. Alichofanta imamu Ibn Kathiri ni kunukuu fasiri za aya alivyo fasiri mtume, maswahaba na maimamu.

Ujinga mwingine ni huu kuwa Qur'aan iliandikwa miaka mingi baada ya mtume, nitakuuliza ni miaka gani hiyo ? Wakati tangu yuko hai Mtume Qur'aan inaandikwa.

Sasa niambie ni lini Qur'aan iliandikwa.
Huwa unatumia Quran ipi? Maana:
1. Muhammad alisema
Narrated Abdullah bin Amr:
I heard the Prophet (ﷺ) saying, "Learn the recitation of Qur'an from four persons: Ibn Mas`ud, Salim, the freed slave of Abu Hudhaifa, Ubai and Mu`adh bin Jabal." - Sahihi Bukhari 3806

Kwa maelezo ya mtume wako, ambayo unapaswa kuyafuata hawa ndio watu wa kujifunza Quran toka kwa
Sasa shida hapo iko wapi ? Sijakuelewa, maana yake maswahaba walikuwa na wanafunzi na ndiyo maana hata swahaba Uthman baada ya kuandika zile nakala sita akazituma katika miji ya waislamu aliwatuma na Maquraa (wasomaji wa Qur'aan) ili wakawa fundishe watu watakao wakuta huko.

Ukisoma elimu ya Qiraa utakutana na haya mambo.
. Abu Bakr alipoona watu walioishika Quran wanakufa (akiwemo Salim kwenye vita ya Yamama) akamtuma Zaid ibn Thabit kukusanya masalia ya Quran kuyaweka kama kitabu kimoja.
Abu Bakr sent for me owing to the large number of casualties in the battle of Al-Yamama, while `Umar was sitting with him. Abu Bakr said (to me), `Umar has come to my and said, 'A great number of Qaris of the Holy Qur'an were killed on the day of the battle of Al-Yamama, and I am afraid that the casualties among the Qaris of the Qur'an may increase on other battle-fields whereby a large part of the Qur'an may be lost. Therefore I consider it advisable that you (Abu Bakr) should have the Qur'an collected.' I said, 'How dare I do something which Allah's Messenger (ﷺ) did not do?' `Umar said, By Allah, it is something beneficial...' - Sahih Bukari 7191
Hoja yako iko wapi hapa ?
3. Uthman analetewa kesi kuwa watu wametunza Quran tofauti na wanatofautiana
Hudhaifa bin Al-Yaman came to `Uthman at the time when the people of Sham and the people of Iraq were Waging war to conquer Arminya and Adharbijan. Hudhaifa was afraid of their (the people of Sham and Iraq) differences in the recitation of the Qur'an, so he said to `Uthman, "O chief of the Believers! Save this nation before they differ about the Book (Qur'an) as Jews and the Christians did before." - Sahih Bukhari 4987

Yaani tofauti zao zilikuwa kubwa kiasi cha kuleta shida kubwa kwa Ummah.
Nimecheka sana, shida yenu hamsomi na hamtaki kusoma, Qur'aan imeshushwa katika lahaja saba huitwa "Sab'ah ahruf (Seven ahruf) ukisoma kwa ndimi hizo zote uko sahihi. Alichokihofia swahaba Hudhaifa ni kwa watu wabaadae wasije kushangaa na kupata gagaiko, ndiyo maana akamshauri swahaba Uthman waandike msahafu ambao umekusanya ndimi zote saba, na katila ndimi hizo saba kunapatikana namna kumi za usomaji na zote zilisomwa zama za mtume na ukisoma kwa namna moja kati ya hizo kumi uko sahihi.

Kwa ukanda wetu huu wa Afrika mashariki na Saudia sisi tunatumia usomaji wa Imamu Aswim ambao umepokelewa na Imamu Hafs.

Lakini kwa ujinga wako hukuangalia angalizo alilolitoa swahaba Hudhaifa kwamba isije wakatofautiana kama walivyo tofautiana Mayabudi na Wakristo. Leo wakristo maandiko yenu yako shaghalabaghala.
4. Uthman akamtuma Zayd ibn Thabit tena pamoja na wengine wakusanye na kutengeneza Quran moja. Material mengine yote akayachoma!
`Uthman then ordered Zaid bin Thabit, `Abdullah bin AzZubair, Sa`id bin Al-As and `AbdurRahman bin Harith bin Hisham to rewrite the manuscripts in perfect copies. `Uthman said to the three Quraishi men, "In case you disagree with Zaid bin Thabit on any point in the Qur'an, then write it in the dialect of Quraish, the Qur'an was revealed in their tongue." They did so, and when they had written many copies, `Uthman returned the original manuscripts to Hafsa. `Uthman sent to every Muslim province one copy of what they had copied, and ordered that all the other Qur'anic materials, whether written in fragmentary manuscripts or whole copies, be burnt. - ibd
Sasa baada ya kunakili kila kitu, kuna haja gani ya kuwepo mabaki tena ? Hii ni akili ya kawaida tu. Uwe unahoji mambo ya msingi. Kuhoji kwa namna hii ni ishara ya kukosa hoja.
Ibn Mas'ud." - Tirmidhi 3104

Kwa maelezo haya, yote yakitoka kwenye vitabu vya kiislam: Unadhani Quran sahihi ilikuwa ni ya Ibn Masoud au ya Zayd b Thabit, au zile zilizochomwa moto? Wewe binafsi unadhani ipi ni Quran sahihi?
Kwanza unaweza kuniambia au kunithibitishia ya kuwa Swahaba Ibn Mas'ud alikuwa na Qur'aan yote ?
Na kwa siku za leo, unatumia Quran ipi, Hafs au Warsh, au zingine?
Kingine mnachokosea siyo Qur'aan ipi, swali unatakiwa uulize hivi kwa usahihi "Unatumia kisomo gani kuisoma Qur'aan". Qur'aan ni moja ila kuna namna kumi za usomaji wa Qur'aan na zote zimepokelewa toka kwa mtume na zote zimedhibitiwa na maana ni moja.

Mimi nasoma usomaji wa Imam Hafs akipokea toka kwa Imamu Aswim.
 
MTUME KIPOFU ASIYE JUA HATIMA YAKE WALA YA WAFUASI WAKE.

Sura 46 - Aya 9

قُلْ مَا كُنتُ بِدْعًا مِّنَ ٱلرُّسُلِ وَمَآ أَدْرِى مَا يُفْعَلُ بِى وَلَا بِكُمْ‌ۖ إِنْ أَتَّبِعُ إِلَّا مَا يُوحَىٰٓ إِلَىَّ وَمَآ أَنَا۟ إِلَّا نَذِيرٌ مُّبِينٌ

Sema: Mimi si kiroja miongoni mwa Mitume. WALA SIJUI NITAKAVYO FANYWA WALA NYINYI. Mimi nafuata niliyo funuliwa tu kwa Wahyi, wala mimi si chochote ila ni mwonyaji mwenye kudhihirisha wazi.

Kiislamu: Qurani Tukufu
Naam. Huyo ndiyo Mhammad> kwa huo upofu wake luuono wewe/ leo anwafuasi zaidi ya billion mbili dunia nzima na wanazidi kuongezeka kila siku.

Wewe usiye kipofu ni nani anaekufuata?
 
Lakini ulishawahi kujiuliza why issa and not Yeshua maana hii ndio tafsiri ya jina jesus in Arabic language (Siri kali). Anyway nikipata wasaa tutajadili vizuri hii kitu

Source:Elimu changa

#Zakuambiwachanganyanazako
Kwanza leta ushahidi kwa uyasemayo.

Pili hakuna "tafsiri" ya jina halafu ukaitwa kwa "tafsiri". badala ya jina lako. Hii ya kutafsiri majina ya Biblia na kuyabadilisha ni ugonjwa wa Waingereza na Kiingereza chao. Ben Issa ni Issa sio tafsiri, ndiyo jina lake alivyoitwa. Qur'an imekuja kuweka wazi kubadilishwa jina la Issa kwa mikono ya watu katika Biblia. Issa hajawahi kuwa "jesus" wala "Yeshua". Issa ndiyo jina halisi,. Qur'an haina shaka kabisa.

Naamini hata wengi wenu, hamuielewi maana halisi kwanini pia akiitwa 'Masih". Qur'an ukiisoma kwa kuielewa utaelewa kinaga ubaga kwanini aliitwa "Masih".

Cha kusikitisha ni kuwa hata Waislam wengi wameingizwa kwenye mtego wa kuisoma Qur'an kwa kufata Tafsiri za watafsiri waliotumia "versions" zilizo kwenyeVitabu vya kaba yake vilivyo fisadiwa (corrupted" kwa kutiwa mikono ya watu.

Ataependa kupiga goti na kuifahamu Qur'an kama Qur'an na si maneno ya Watafsiri, nipo tayari kujadili zaidi.
 
Mimi nitakufunza Hadi utauacha huo UPAGANI,

Mimi nilikuwa Sheikh ,Lakini nilipokutana na Yesu nikaachana na UPAGANI(uislamu)
Hahahahaha, wewe utakuwa ulikuwa shehena. Unakutana na mashetani wenzako iunajidanganya umekutana na "Yesu". Umjuwe wapi Yesu wewe, unajidanganya tu.

Umjuwe Yesu halafu uingie kanisani? Yesu lini aliingia kanisani?
 
Umjuwe Yesu halafu uingie kanisani? Yesu lini aliingia kanisani?

NAJUA UNADANGANYWA KUWA YESU ALIINGIA MSIKITINI NA MASHEKH WAKO ,

NITAKUGEUZA UBAO WA KUFUNDISHIA KWA WENGINE


Neno SInagogi linatokana na Kigiriki συναγωγή sinagoge likimaanisha "mkutano"; ni tafsiri ya Kiebrania בית כנסת beit knesset yaani "nyumba ya mkutano".

Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule) kutajia sinagogi. Katika lugha ya kiebrania neno “ beit ” linamaana “ nyumba” ndio maana hata ukisoma bethsaida “ Nyumba ya mvuvi” au bethsania-Nyumba ya masikini. Bethlehemu, nyumba ya mkate. (Soma injili imetajwa sana majina haya )

Katika Israeli ya Kale (kabla ya maangamizi ya Yerusalemu mwaka 587 KK) inaonekana hakukuwa na sinagogi: walau halitajwi kabisa katika Agano la Kale.

Inaonekana ya kwamba masinagogi yalianzishwa baada ya hekalu ya Yerusalemu kubomolewa pamoja na kuanza uhamisho wa Wayahudi kwenda nchi mbalimbali.
Tangu kuharibiwa kwa Hekalu la Pili mwaka 70 Wayahudi wana masinagogi tu kufanyia ibada.

Je Sinagogi laweza kuwa ni Msikiti katika uasili wa lugha?
Qur-an Surat 22:40

Andiko hili linataja majina ya majengo mbalimbali ya ibada ikiwemo na sinagogi ingawa halikuwekwa kwenye tafsiri ya Qur-an ya Kiswahili ila tutalichunguza kwa watafsiri wengine wa Qur-an hususani tafsiri ya kingereza iliyotolewa na Mwanazuoni wa Kislam ndugu Yusufu Ally.

Qur-an ya sura ya 22 :40 katika tafsiri ya kiingereza inaeleza yafuatayo
Those who have been expelled from their homes unjustly but only because they say our Lord is Allahfor had it not been that Allah checks one by means of another have been pulled down Monasteries Churches Sinagogues and Mosques …….
Tafsiri ya aya hiyo katika Kiswahili

majengo hayo katika matamshi ya kiarabu na maana zake hapo chini.

BILASHAKA YANGELIVUNJWA
KISWAHILI KIARABU
1) Mahekalu Swawamiyu
1. Hekalu Swawaamiu
2. Kanisa Biyaun
3. Msikiti Masjid
4. Sinagogi Swalawaatun
 
NAJUA UNADANGANYWA KUWA YESU ALIINGIA MSIKITINI NA MASHEKH WAKO ,

NITAKUGEUZA UBAO WA KUFUNDISHIA KWA WENGINE


Neno SInagogi linatokana na Kigiriki συναγωγή sinagoge likimaanisha "mkutano"; ni tafsiri ya Kiebrania בית כנסת beit knesset yaani "nyumba ya mkutano".

Wayahudi hutumia pia neno la Kiyiddish "shul" (=shule) kutajia sinagogi. Katika lugha ya kiebrania neno “ beit ” linamaana “ nyumba” ndio maana hata ukisoma bethsaida “ Nyumba ya mvuvi” au bethsania-Nyumba ya masikini. Bethlehemu, nyumba ya mkate. (Soma injili imetajwa sana majina haya )

Katika Israeli ya Kale (kabla ya maangamizi ya Yerusalemu mwaka 587 KK) inaonekana hakukuwa na sinagogi: walau halitajwi kabisa katika Agano la Kale.

Inaonekana ya kwamba masinagogi yalianzishwa baada ya hekalu ya Yerusalemu kubomolewa pamoja na kuanza uhamisho wa Wayahudi kwenda nchi mbalimbali.
Tangu kuharibiwa kwa Hekalu la Pili mwaka 70 Wayahudi wana masinagogi tu kufanyia ibada.

Je Sinagogi laweza kuwa ni Msikiti katika uasili wa lugha?
Qur-an Surat 22:40

Andiko hili linataja majina ya majengo mbalimbali ya ibada ikiwemo na sinagogi ingawa halikuwekwa kwenye tafsiri ya Qur-an ya Kiswahili ila tutalichunguza kwa watafsiri wengine wa Qur-an hususani tafsiri ya kingereza iliyotolewa na Mwanazuoni wa Kislam ndugu Yusufu Ally.

Qur-an ya sura ya 22 :40 katika tafsiri ya kiingereza inaeleza yafuatayo
Those who have been expelled from their homes unjustly but only because they say our Lord is Allahfor had it not been that Allah checks one by means of another have been pulled down Monasteries Churches Sinagogues and Mosques …….
Tafsiri ya aya hiyo katika Kiswahili

majengo hayo katika matamshi ya kiarabu na maana zake hapo chini.

BILASHAKA YANGELIVUNJWA
KISWAHILI KIARABU
1) Mahekalu Swawamiyu
1. Hekalu Swawaamiu
2. Kanisa Biyaun
3. Msikiti Masjid
4. Sinagogi Swalawaatun
 
Kwa kukujuza kiduchu; Mtume uhammad Salla Allahu alayhi Wasalaam hajapokea ujumbe tofauti na Mitume yeyote, kilichoongezeka katika aliyopokea yeye ni kufundishwa wazi wazi na Allah ndani ya Qur'an jinsi Walivyokuwa Mitume kbala yake na yaliyotokea wakati wao, iliiwe ni fundisho kwake na kwetu bila porojo zilizoingizwa kwenye vitabu vya zamani na kutiwa mikono ya watu (corrupted",

Nakushauri. Ukitaka kujuwa mafundisho ya kweli ya Muumba wako basi isome Qur'an. Kitabu cha Allah pekee ambacho hakijachakachuliwa wala kuongezwa ya binaadam humo.

Qur'an is a miracle indeed.
MUHAMMAD ndio maana Wayahudi walimpinga , Yupo tofauti na Mitume wengine wote kimafundisho, The way alivyoupata huo utume


Quran Ni KITABU cahake Muhammad,

Nitakujuza mengi kuhusu Muhammed ambayo huyajui na wengine wayajue

Wewe dini umezaliwa umejikuta humo, umemezeshwa uongo

MUHAMMAD KAPEWA UTUME NA MKEWE KHADIJA USHAHIDI HUU HAPA

✔️Swali Nipe Aya Mimi Mwenyezi Mungu nimekuchagua Muhammad uwe mtume wangu ndani ya Quran?

➖➖➖➖➖

Muhammad anasema Najikhofia nafsi yangu kuchezewa na shetani katika pango la Jabar Hira na kuniharibu akili zangu Mimi Muhammad na kunizuga akili zangu, lakini mkewe khadija akasema huwezi kuchezewa na shetani na shetani Mtu kama wewe bali Mimi kadija Naapa kuwa UMESHAKUWA MTUME WA UMA HUU. (KITABU CHA WAKEZE WAKUBWA NA WANAE MUHAMMAD UKRASA WA 13-14

SWALI

✔️ JE NANI MKWELI KATI YA MUHAMMAD NA KHADJA MKEWE ? Muhammad anasema najihofia kuchezewa na shetani na kuharibiwa akili mke anasema naapa umeshakuwa mtume wa Umma huu:

✔️ WAPI KHADIJA ALIKUWAKO PANGONI ILI TUMWAMINI maana Muhammad KASEMA nilitokewa na shetani pangoni?

👆👆👆👆👆👆👆🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂

MKEWE MUHAMMAD NDIYE KAMPA UTUME MUHAMMAD AKIWA AMEJIFICHA HUYU MKEWE KWA JINA LA NASI TUMEKUTUMA

✔️SWALI NASI WALOMTUMA MUHAMMAD NI WAKINA NANI NA WANAISHI WAPI?

✔️Quran 4: 79) Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.

,➖➖➖➖➖ ASSALAM ALEIKUM
 

Attachments

  • FB_IMG_1653334458088.jpg
    FB_IMG_1653334458088.jpg
    62.8 KB · Views: 16
Nakushauri. Ukitaka kujuwa mafundisho ya kweli ya Muumba wako basi isome Qur'an. Kitabu cha Allah pekee ambacho hakijachakachuliwa wala kuongezwa ya binaadam humo.

Qur'an is a miracle indeed.
QUR'AN ILIKOPI SEHEMU ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA [YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI ]

➖➖➖➖➖➖➖➖

SWALI LETE ANDIKO MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA HAMJAKOPI BIBLIA

✔Mwanzo 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.

¹⁰ Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.

➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖

MUNGU WETU ALIZIPA BAHARI MIPAKA YAKE USHAHIDI HUU HAPA KABLA YA MUHAMMAD KUZALIWA NA KABLA YA QUR-AN YENU KUANDIKWA

✔”Mithali 8:29 “Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;

✔Zaburi 24 (Biblia Takatifu)

¹ Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

² Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.

➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖

PAUL NDIYE WA KWANZA KUFIKA HAPO KABLA YA MUHAMMAD WENU KWENYE BAHARI CHUMVI NA BAHARI TAMU USHAHIDI HUU HAPA KASOMA MATENDO 27:1-44😁😁

✔Matendo ya Mitume 27:41 “Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.

➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖

QURAN IMEKOPI BIBLIA NA IMEKOPI ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI USHAHIDI HUU HAPA

✔SWALI AYA IPI MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA SI KOPI YA KUTOKA KWA PAULO MATENDO 27:41

✔Quran 55:18-20

18. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

19. Anaziendesha bahari mbili zikutane;

20. Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane

✔Quran 25:53. Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na akaweka baina yao kinga na kizuizi kizuiacho

➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖ASALAAM ALEIKUM
 

Attachments

  • FB_IMG_1653712020662.jpg
    FB_IMG_1653712020662.jpg
    25.5 KB · Views: 11
Unataka kuujuwa Uislam halafu unakwenda kuwauliza Islam Haters wenzako? Utachokielewa ni nini zaidi ya kujazwa ujinga tu?
MM nilishakuwa muislamu Tena wa Kuzaliwa , Naitwa Khamis Hussein

Nimesoma madrasa na kuimaliza Quran yote, na hadithi yakutosha

Ila nilipokutana na Yesu wa Nazareth Nilimuelewa na Kuamua kumkubali

Na Sasa nimempokea Nina aman moyoni


Uislamu Ni dini ya mchongo, hivo siendi kumuuliza mtu yeyote ,Ni mm mwenyewe nakushuhudia
 
Kwa kukujuza kiduchu; Mtume uhammad Salla Allahu alayhi Wasalaam hajapokea ujumbe tofauti na Mitume yeyote, kilichoongezeka katika aliyopokea yeye ni kufundishwa wazi wazi na Allah ndani ya Qur'an jinsi Walivyokuwa Mitume kbala yake na yaliyotokea wakati wao, iliiwe ni fundisho kwake na kwetu bila porojo zilizoingizwa kwenye vitabu vya zamani na kutiwa mikono ya watu (corrupted",
KILA KUDI LA KIISLAMU NAMSIMAMO WAKE
➖➖➖➖➖➖➖

✔️Wafuasi WA Malik wanasema MUHAMMAD alirogwa QURAN 15:15

➖➖➖➖➖➖➖

✔️Wafuasi WA shafi wanasema waislam ni makafir WAKUBWA QURAN 22:72 QURAN 6:40-41

➖➖➖➖➖➖➖➖➖

✔️Wafuasi WA hambar wanasema MUHAMMAD hakupewa utume na Allah Bali mkewe QURAN 4:79, QURAN 46:9 QURAN 72:21 QURAN 10:108

➖➖➖➖➖➖➖➖

Wafuasi WA hanafi wanasema Allah anaumbo na ataonekana siku ya kiyama QURAN 39:67

➖➖➖➖➖➖

Wafuasi wa Ahmad Yaani ahmadiya MUHAMMAD alipinga Allah QURAN 66:1 na MUHAMMAD SI MTUME wa MWISHO

➖➖➖➖➖➖ Assalam Aleikumu
 

Attachments

  • FB_IMG_1653712549811.jpg
    FB_IMG_1653712549811.jpg
    57.5 KB · Views: 14
unakuta mwafrika kakaa hapa anang'ang'ania dini kishabiki kabisa utadhani simba na yanga!

huyo ISSA hilo sio jina lake, na wala YESU sio jina lake. Aliitwa Yehshua kwa kiebrania. Mambo ya YESU, ISSA, JESUS, YESUS ni majina yaliyotokana na jamii tofauti tofauti na lugha wanazotumia.
Ndo maana utakuta wengine wanaita YOHANNE, wengine, YOHANA, wengine JOHAN, wengine JOHN etc.

sasa unaposema wa kule ni mwingine uwe na uhakika na unachokisema na uwe na points sio mihemko ya dini, maana hata hawa wawili mnaowagombania haya hayakua madhehebu yao.
 
Hivi unajua kuwa Luka matayo,Marko hawakuwepo kipindi Cha yesu ?
Na hawajawahi kumuona yesu Wala hawajawahi kuwa wanafunzi wa yes unajua hilo
ACHA kudanganya watu, Mathayo Ni mwanafunz wa yesu kama Yohana

Hivi kwann Quran inawadanganyeni hivo
 
Naam. Huyo ndiyo Mhammad> kwa huo upofu wake luuono wewe/ leo anwafuasi zaidi ya billion mbili dunia nzima na wanazidi kuongezeka kila siku.

Wewe usiye kipofu ni nani anaekufuata?
MUNGU SIO WA DEMOKRASIA

ACHANA NA KAULI ZA CHADEMA ," SAUTI YA WENGI NI SAUTI YA MUNGU"

MUNGU haangalii wingi, anaangalia ukweli

Alishaangamiza mamilion kipind Cha Nuhu na Lutu , waliopona hawazidi hata 10

Mt 7:13-27 SUV


Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.

Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.


Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?
 
Qur'an is a miracle indeed.
Yah Ni uchawi ndio maana kina Sharifu majini wanaitumia kuagua hata waganga wa kienyeji wanaitumia ,huwez kukuta Wanatumia Biblia

6:7 - Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru: Haya si chochote ila ni uchawi dhaahiri.

Jamani Quran ya makaratasi ni uchawi
 

Attachments

  • FB_IMG_1653718923635.jpg
    FB_IMG_1653718923635.jpg
    34.7 KB · Views: 15
Issa bin Maryam ndiye huyo huyo Yesu wa kwenye Biblia lakini alivyoelezewa kwenye Qur'an ni tofauti kabisa na alivyoelezewa kwenye Biblia. Kwenye Qur'an inaleta maana pana na uelewa wa Issa bin Maryam alikuwa nani, babake nani, ndugu zake nani, asili yake ipi, asili ya mamake ipi. Yote hayo yapo kwenye Qur'an pekee.
ACHA KUDANGANYA WATU

ISA SIO YESU, HUYO ISA NI TAPELI WA KWENYE QURAN,

. Jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislam. Na hata leo, jina la Yasu linatumiwa na zaidi ya 99.99% ya Wakristo wote wa Kiarabu. Tembea katika kanisa lolote la Kiarabu huto sikia wanatumia jina la Isa, Sikiliza matangazo ya Wakristo wa Kiarabu katika Radio na Televisheni (za Kiarabu) huto sikiwa Mkristo anatumia jina la Isa, bali wanatumia jina la Yasu. Matangazo yote ya Kikristo katika Uarabu wanatumia jina la Yasu. Kamwe huto ona jina la Isa kama lilivyo kwenye Koran ya Waislamu.
Katika jadi ya Kiarabu na utoaji wa tafsiri wa jina, jina sahihi la Kiebrania (Yeshua) ni Yasu katika Kiarabu. Kila uchaguzi wa tafsiri ya jina la kigeni katika lugha tofauti ni uvumbuzi wa binadamu.
Kiisimu ipo wazi jinsi jina la Yeshua Kiebrania lilivyo tafsiriwa na kuwa Yesu Kiswahili na Jesus Kiingereza:
Yeshua '(Kiebrania) -> Ιησους (Kiyunani) -> Yesu (Kilatini) -> Jesus (Kiingereza) -> Yesu (Kiswahili).
Mpito muhimu ni kutoka Kiyahudi kwenda Kigiriki. Hatua hii ilifanyika miaka 200 kabla ya Yesu kuzaliwa. Watafsiri wa Septuaginta (LXX), classical Kigiriki tafsiri ya maandiko ya Kiyahudi, kutokaa Yeshua Kiebrania jina kama Ιησους katika Kigiriki.

Kulingana na sheria za lugha na mahusiano kati ya Kiyahudi na Kiarabu, Yasu 'ni sahihi kwa Kiarabu na kwa Kiebrania ni Yeshua:
Yeshua '= Yod + + Shin Waw +' Ain
Yasu '= + Ya + Sin Waw +' Ain


Tena, katika lugha sahihi, jina la Yasu ni Kiarabu sawa na Yeshua Kiebrania. Hivyo, katika utamaduni na jadi ya Kiarabu jina la Yasu ndilo sahihi na pekee kutokana na kiisimu. Mpito kutoka Yeshua kwa Yasu inafuata sheria ya kawaida ya mabadiliko fonetiki kutoka Kiyahudi na Kiarabu. Yasu ni jina la Kiarabu la Yesu. Kinyume chake, Yasu ndio jina lenye asili ya Yeshua.
Early Hebrew (long form):

Yehoshua' = Yod + He + Shin + Waw + 'Ain
Later Hebrew (short form): Yeshua' = Yod + Shin + Waw + 'Ain
Arabic (Christian): Yasu' = Ya + Sin + Waw + 'Ain
Arabic (Muslim): 'Isa = 'Ain + Ya + Sin + Ya


“Ya” na “Waw” ni maneno dhaifu, katika lugha ya Kiarabu, hufundisha kwamba mtu anaweza kurejea katika maneno mengine kama kuchukua juu ya aina mbalimbali (declension, inflection). Hivyo, mtu anaweza kuona kwamba fomula ya Kiislamu 'Isa kimsingi ni ya bandia/kutungwa na binadamu (inversion) (pamoja na mabadiliko ya Waw ili Ya) kwa Mkristo wa Kiarabu jina la Yesu ni Yasu na si Isa kama ilivyo andikwa kwenye Koran ya Kiislamu.
 
Back
Top Bottom