Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 25,791
- 23,268
Sie watu wa pwani ndo tulomfunda huyu mzee wenu kuvaa kistaarab (sarawili + kikoi), yy alikua mtu wa makaputura na masulupwete..pichani dhahiri ni baada ya kuoneshwa jinsi ya kuketi wakti ukialikwa ustaarabuni. najua wabara mtapinga/
sasa mbona kila kukicha mnamlaumu???