Huyu, HANAGA Mpinzani BONGO NZIMA

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
305901_493865240654303_791731685_n.jpg
 
Anasema ikulu ni mahali patakatifu na anayekimbilia Ikulu kwa rushwa aogopwe kama ukoma
 
Lakini na Tanzanite yetu isingekuwa imeibwa yote


Mwanzo wa wizi ni yeye Baba yetu kutuachia tuibe na kufilisi mashirika ya umma. Tusidanganywe na wanasiasa uchwara huyu mzee aliburunda na kila kiliopo sasa kilikuwa na msingi kutoka kwake, kuanzia amani, dictatorship, plunder, magendo na kila kitu kiwe kibaya au kizuri.
 
Anasema ikulu ni mahali patakatifu na anayekimbilia Ikulu kwa rushwa aogopwe kama ukoma
Mbona yeye alipakimbilia? Au yeye alikuwa amekaa nyumbani kwake Magomeni watu wakaja kumwomba kumtawaza kuwa Rais?

Na hata tukisema yeye hakupenda kukimbilia Ikulu, ilikuaje kuaje ang'ang'anie Ikulu miaka 24, alikuwa kila baada ya miaka mitano "anaombwa na wazee"?
 
Mbona yeye alipakimbilia? Au yeye alikuwa amekaa nyumbani kwake Magomeni watu wakaja kumwomba kumtawaza kuwa Rais?

Na hata tukisema yeye hakupenda kukimbilia Ikulu, ilikuaje kuaje ang'ang'anie Ikulu miaka 24, alikuwa kila baada ya miaka mitano "anaombwa na wazee"?


Nakuomba sana umsome Abdulwahid Sykes labda utabadilisha kauli yako....
 

Nikimuona nakumbuka unga wa ngano, nakuvaa nguo za viraka pamoja ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari. Huyu Mwl alitawala kundi la wajinga toka mwaka 1960 wananchi wake walikuwa hawajawahi kuona TV wala kufanya mijadala kama hivi. Enzi zake ukikutwa na dola 50 utajuta lazima uende jela.
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom