Huyu hakuwa tayari kwa ndoa?

Anaweza wapi mtu mwenyewe sjui anaonekana kunuka dhiki tu ndo maana anatoa maneno ya shombo kisa kusema pesa ya mwanamke ni ya mwanamke sio kupangiana majukumu 50/50 adi anatukana
We mnuka K ww kaa mbali usinitafutie ban hunijui skujui unaelewa NUNGAIYEMBE ?

Niwe na hela au sina we kinakuuma nn ww si ndugu yangu, si mchepuko wangu, sina ukoo na ww, si mzazi wangu, si mke wangu sasa umejuaje siwez kuhudumia familia yangu mnuka K ww.

Umejuaje sina hela? Msengerema ww
 
We mnuka K ww kaa mbali usinitafutie ban hunijui skujui unaelewa NUNGAIYEMBE ?

Niwe na hela au sina we kinakuuma nn ww si ndugu yangu, si mchepuko wangu, sina ukoo na ww, si mzazi wangu, si mke wangu sasa umejuaje siwez kuhudumia familia yangu mnuka K ww.

Umejuaje sina hela? Msengerema ww
Sasa wasokuwa na hela si ndo wana hasira ivo na wanahisi matusi ndo faraja kwao😂😂😂😂😂 pole Dia naona umechapika asa ayo matusi yamekuongezea kipato eti
 
Mimi sijaoa ila ninachokifahamu na kukiamini ni hiki.

1. Hakuna KUOANA, kuna Kuoa na Kuolewa

2. Pesa ya Mwanamke haiihusu Familia sababu mke sio mwanzisha Familia, mume anatakiwa ahusike katika angles zote vinginevyo akubali kusaidiwa majukumu.

3. Hakuna ndoa iliyowahi kuendeshwa Kidiplomasia ikafanikiwa.
 
Nina rafiki yangu mmoja tumeshakuwa kama ndugu maana tulikutana a level mpaka chuo kikuu tuko wote na kitaa tupo wote. Sasa alioa mke wake sasa ni miaka 3 wako kwenye ndoa halali kabisa. Mkewe ni mnyaturu, shida inayojitokeza yule mkewe pia anafanya kazi.

Tatizo ni kwamba yule mwanamke anaishi na mumewe kama vile bado hana familia yaani bado yuko tu kwao kwa baba na mama. Kwani hata kile kidogo anachopata karibia chote anatuma kwao na si kwamba kwao kuna maisha magumu kivile hapana.

Sasa inampa shida sana mumewe kwani anasema kwasasa wana familia ukizingatia wana mtoto tayari ilipaswa mkewe washirikiane kuendelea kuijenga familia yao kwa asilimia kubwa sana. Kingine kule kwao na mwanamke ni kama vile wao bado wanataka kuendelea kummiliki mtoto wao kama vile hana familia wala hajaolewa.

Sasa wakuu nini maana ya kuoana na kuanzsha familia kama mmoja anakuwa kama bado kimwili yuko na wewe lakini kiuhalisia hajatoka kwao maana hata wazazi wetu baba na mama hawa nao kila mmoja alitoka kwao ukoo tofauti familia tofauti wakaanzsha familia ndio wakatuzaa sisi

Ushauri wenu tafadhari.....

NB: wanyaturu inasemekana ni watamu sana

ntaende kutembea Singida
 
Tulete nyumbani kwamba kuna mgao au?
Kama mahitaji yote yanaletwa we unataka pesa uzfanyie nn kama kuna mipango ya familia tunapanga na kutekeleza sa unataka nibebe pesa nikuletee nyumban ili tugawane au ili iweje nani kichwa na kiongoz wa familia hapo ndani?

Mtaishia kutombwa tu na kuzalishwa
Kwahyo mahitaji ya mwanamke ni kupa ugali wako tu? Hujui anahitaji kuvaa vzuri, kupaka mafuta mazuri, kusuka nywrle atakazo. Yaan nyie ndo wale wanaume anaona akishalipa ada na kuweka ugali mezani basi katimiza majukumu ya mke wake! Umkalishe mwanamke ndani aache kazi kisa anakula tu humpi mahitaji yake memgine. Mwanamke anahitaji kuwasaidia ndgu zake sasa ukimkalisha ndani unamwachia ugali tu hapo na hela ya utumbo wa mchicha unaona hapa tyari mke wangu keshatosheka? Ikitokea issue kwao hata ya pesa kidogo tu aanze kukulilia wewe week nzima anakuomba eldu 10 amtumie mamake anunue chumvi?
 
Wewe ndo unakurupuka ndugu na jazba zako, kuoa mwanamke ana kazi haimaanishi baadhi ya huduma usimpe kisa ana kazi au mshahara wake uupangie, yaan wewe hujielewi kabisa, mwanamke Kushare na wewe kipato chake ni kwa kupenda tu sio shurti tena kwa makubaliano, na sjasema anafanya kazi ili alipie salon na pipi, nimesema hata pipi akitaka unamnunulia, hata kwenda salon, umepanic ka vile umenioa sasa! Mwanaume anayejua jukumu lake nikwambie haezi uliza habari ya pesa ya mwanamke, ni mwanamke tu kujiongeza kiaina anamsuprise mambo madogo madogo mumewe Ila sio kuclear bills 50/50 kisa umemshurutisha eti kisa anafanya kazi! Tena unakuta mnafanya kazi wote hata mafuta ya gari ni juu ya mwanaume na wala halalamiki sasa kama we ulivotoa povu la toss halioni ndani.....mwanaume aliyekamilika uanaume wake anafeel proud kumhudumia mkewe! Tafuta hela usitolee macho pesa ya mkeo we ndo kichwa cha familia
Asante, aisee inabidi wanaume mnaooa sahv mfanyiwe bag party aisee, mfundwe na nyie, jueni majukumu yenu syo kutolea macho hela za wake zenu
 
Mimi sijaoa ila ninachokifahamu na kukiamini ni hiki.

1. Hakuna KUOANA, kuna Kuoa na Kuolewa

2. Pesa ya Mwanamke haiihusu Familia sababu mke sio mwanzisha Familia, mume anatakiwa ahusike katika angles zote vinginevyo akubali kusaidiwa majukumu.

3. Hakuna ndoa iliyowahi kuendeshwa Kidiplomasia ikafanikiwa.
Afadhali bado kuna vijana wanajua majukumu ya mume ktk ndoa, Mungu akupe mwanamke atakaekusaidia kwa hiari mwaya, cyo hawa wanafosi wale hela za wake zao. Nawadharauje aisee!! Mm myme wangu hajawahi hata kuniambia nunue hiki humu ndani, nkiwa na hela nanunua kumsaidia mume wangu kwa mapenzi yangu syo kwa shuruti kwasababu anajua majukumu yake kama baba wa familia na mume wa mke wake. Nyie mnaotegesha wake zenu walete hapo mishahara yao wahudumie familia mnaboa. Wacha afanye kwa mapebzi yake yeye syo shuruti
 
Na bado siku wakiachana mke atataka wagawane mali za familia alizochuma mume. Mmeambiwa muishi nao kwa akili lakini nyie mwasema mwanamke ni kiumbe dhaifu subutuuuuuuu
Point kubwa sana hiyo, umelenga pale pale kwenye mshono
 
Ulizeni baba zenu waliishije mana hamna jipya hapo. tatizo mnataka kuacha majukumu yenu
 
Hela ya mwanamke usiipigie mahesabu, maana wakati anasoma haukuwepo Wala haukumlipia ada, hiyo mwanaume unatakiwa kuweka akilini kwanza, iwe ni utashi wa mwanamke mwenyewe kujua kwamba maisha ni kusaidiana, lakin ukitegemea hela ya mwanamke kwanza inamasimango huwezi pewa bila masimango, wewe la kushughulikia ni Hilo la kuijenga familia yako Kama hatimizi majukumu ya mke ndani ya ndoa Hilo shughulika nalo, isije mpaka nguo zako anafua housi gelo Hilo kataa Kwa msisitizo, wikiend chakula akupikie na mambo mengine Kama mke ayafanye, kinyume na hapo achague moja kazi au ndoa Kama anashindwa kubalance
Long time mzee

Nafurahi kukuona tena
 
Back
Top Bottom