Huyu dr wa kwenye mdahalo wa itv jumapili kasomea fani gani?

OMEGA

JF-Expert Member
Jul 12, 2011
693
300
Kwa mfumo wa elimu wa Tanzania kabla ya mtu haja specialize kuwa DR au proffesor uwa anapitia masomo mbalimbali,kuna dada mmoja kwenye mdahalo ulioonyeshwa na ITV Jumapili anaitwa Clesencia Shule aliongea baadhi ya vitu ambavyo vilitufanya wengi tujiulize uwezo wake academically na uelewa wake kwa ujumla,hasa alipokuwa anawakanya vijana wakae mbali na siasa kuwa heti haina maana yoyote katika maisha yao.Mimi na wenzangu tulijiuliza kuwa huyu dada kapitia mfumo gani wa taaluma hata hasijue umuhimu wa siasa na utandawazi?pia hiyo Doctorate ni ya nini hasa na aliipiatia chuo gani?wakati nikiwa chuo miaka ya 47 tulikuwa na muhadhili mmoja wa contemporary politics aliyekuwa anatoka nchi za kikomunist alikuwa anaitwa VAN DONGE-Doctoral candidus,huyu naye alikuwa confused confused katika mada zake na mnaomkumbuka alizoea kutembea na kikapu cha ukiri akiweka material yake,tulipokuwa tuna argue naye alizoea kusema kuwa inawezekana mko sahihi lakini if you want to pass your exam you have to write what your teacher wants to read,na from then nilianza ku question bahadhi ya doctorates za watu.
 
Ukisikia mtu anaitwa Doctor au Professor usishituke sana,kwanza inabidi utambue kuwa u-DR au U-Profesa wake ni wa nini na kaupataje.
Kuna mtu anaitwa DR.KIFIMBO na Mwingine anaitwa Profesa Maji marefu,sijui ulishawahi kuwasikia?,uliza sasa darasa lao chuo kikuu lilikuwa na watu wangapi atakupa jibu,halafu uje ulinganishe na yule Dada wa ITV.
 
Sijui!... lakini kwa mimi nilivyo muelewa alikuwa na maan kwamba, kujitoa kusaidia jamii si lazima uwe mwana siasa ndiy utoe mchanga wako kwa jamii, kwa sababu kuna watu walio katika fani tofauti kwenye jamii ambo michango yao inaonekan na inakuwa ya kujitoa kwa moyo... Zaidi ya hapo si wezi kusema lolote
 
Ni kweli huyu binti ana upeo mdogo sana wa mambo niliwahi kumuona kwenye madaho flan nadhani last year, kimsingi sikuwa interested kumaliza kwa sababu ile persuasive argumentation yake iko very low. Nahisi ni atakuwa amesoma mambo ya sanaa na filamu huko, any way simjui zaidi ya hivyo. Ila ma-PhD wa filamu wengi wako hivyo tofauti na kada nyingine.
 
Dr. Vicensia Shule amesomea Fine and and Performing Arts. Kama kumbu kumbu yangu ni nzuri Phd alifanya chuo kimoja Ujerumani na kuhitimu si zaidi ya miaka mitatu iliyopita. Vile vile ni Publisher.
 
Siku hizi kuna u doctor wa kupewa kama zawadi unaitwa "U DOCTOR WA HESHIMA" kama aliopewa KIKWETE kule Kenya na aliopewa REGINALD MENGI, hivyo nadhani hata huyo Clesencia Shule alipata hiyo bahati ya kutunukiwa u doctor.

Kwa upande mwingine ninavyoelewa mimi U professor hausomewi, hakuna mtu amesoma akata degree nyingi mpaka akaitwa Professor.
Mtu wa elimu yoyote anaweza kuwa Professor kama ataweza kugundua kitu ambacho hakijagunduliwa na mtu yeyote, na kudhibitishwa kuwa ni kweli basi mtu huyo hutunukiwa uprofessor.
 
Vicensia Shule
Vicensia Shule is a performing artist working at the Department of Fine and Performing Arts, University of Dar es Salaam, Tanzania. She has both BA (Fine and Performing Arts) and MA (Performing Arts) from the University of Dar es Salaam, Tanzania. She is currently finalizing her PhD (Theatre Studies) at Johannes Gutenberg Universität Mainz, Germany. Vicensia serves as a board member for various national and international institutions such as Southern Africa Theatre Initiative (SATI), Eastern Africa Theatre Institute (EATI), Tanzania Theatre Center (TzTC) among others. Currently she is a Vice President of the International Drama/Theatre and Education Association (IDEA) General Meeting Committee. She is a contributor, reviewer and a critic for various performing arts journals, books, programs and productions. Independently she works as a producer and a director for film, radio and television programs.


NI MDADA FLANI ALIYESOMEA MAMBO YA SANAA..KWA HIYO NI MSANII FLANI HIVI
 
Nadhani alishikwa na kihoro,baada ya kuona mtoto aliekulia pale tayari keshaongea mambo ambayo alitaka kuzungumza ikabidi aanze kuokoteza mawazo ya kujengea hoja.Maana sura yake ilijaa kutojiamini na akonekana yeye ndiye mwanafunzi while Mhadhiri vinginevyo huyu ni aina za wahadhiri vihio katika vyuo vyetu.
 
Siku hizi kuna u doctor wa kupewa kama zawadi unaitwa "U DOCTOR WA HESHIMA" kama aliopewa KIKWETE kule Kenya na aliopewa REGINALD MENGI, hivyo nadhani hata huyo Clesencia Shule alipata hiyo bahati ya kutunukiwa u doctor.

Kwa upande mwingine ninavyoelewa mimi U professor hausomewi, hakuna mtu amesoma akata degree nyingi mpaka akaitwa Professor.
Mtu wa elimu yoyote anaweza kuwa Professor kama ataweza kugundua kitu ambacho hakijagunduliwa na mtu yeyote, na kudhibitishwa kuwa ni kweli basi mtu huyo hutunukiwa uprofessor.
kwa hiyo yale matunguli ya maji marefu yamefunika ya wachawi wote ndio maana kamati ya wanga wakampa uprofesa?ok nimekuelewa!!!!
 
Niulizeni Mimi....nimegonga sana hiyo ngozi wakati niko mkwawa......ni dr pia wa Yale mambo yetu

Sasa si useme?! Nyamb...ff!!

Kujitia madahilo tuu (eti umegonga sana ile ngozi)!! Huna chochote wewe tutusa!!
 
Kwa mfumo wa elimu wa Tanzania kabla ya mtu haja specialize kuwa DR au proffesor uwa anapitia masomo mbalimbali,kuna dada mmoja kwenye mdahalo ulioonyeshwa na ITV Jumapili anaitwa Clesencia Shule aliongea baadhi ya vitu ambavyo vilitufanya wengi tujiulize uwezo wake academically na uelewa wake kwa ujumla,hasa alipokuwa anawakanya vijana wakae mbali na siasa kuwa heti haina maana yoyote katika maisha yao.Mimi na wenzangu tulijiuliza kuwa huyu dada kapitia mfumo gani wa taaluma hata hasijue umuhimu wa siasa na utandawazi?pia hiyo Doctorate ni ya nini hasa na aliipiatia chuo gani?wakati nikiwa chuo miaka ya 47 tulikuwa na muhadhili mmoja wa contemporary politics aliyekuwa anatoka nchi za kikomunist alikuwa anaitwa VAN DONGE-Doctoral candidus,huyu naye alikuwa confused confused katika mada zake na mnaomkumbuka alizoea kutembea na kikapu cha ukiri akiweka material yake,tulipokuwa tuna argue naye alizoea kusema kuwa inawezekana mko sahihi lakini if you want to pass your exam you have to write what your teacher wants to read,na from then nilianza ku question bahadhi ya doctorates za watu.

Alichokua anaamaanisha ni kwamba vijana wengi siku hizi hawataki kitu chochote zaidi ya siasa, lakini kuna mambo mengi ya kufanya zaidi ya siasa.
 
bado kuna dr dhaifu

upeo unazidiana uelewavyo ww si sawa na mwingine lakini ticher ni mmoja yule Dada alinza na Sanaaa pale udsm.then B.com. sasa sina uwakika ame combain nini kwanye Dr..yake lakini sio mbaya kama mulivyo mwelewa ni mzuri tu pale chuo ukiondoa kujituma kwae kikazi
 
Kwa mfumo wa elimu wa Tanzania kabla ya mtu haja specialize kuwa DR au proffesor uwa anapitia masomo mbalimbali,kuna dada mmoja kwenye mdahalo ulioonyeshwa na ITV Jumapili anaitwa Clesencia Shule aliongea baadhi ya vitu ambavyo vilitufanya wengi tujiulize uwezo wake academically na uelewa wake kwa ujumla,hasa alipokuwa anawakanya vijana wakae mbali na siasa kuwa heti haina maana yoyote katika maisha yao.Mimi na wenzangu tulijiuliza kuwa huyu dada kapitia mfumo gani wa taaluma hata hasijue umuhimu wa siasa na utandawazi?pia hiyo Doctorate ni ya nini hasa na aliipiatia chuo gani?wakati nikiwa chuo miaka ya 47 tulikuwa na muhadhili mmoja wa contemporary politics aliyekuwa anatoka nchi za kikomunist alikuwa anaitwa VAN DONGE-Doctoral candidus,huyu naye alikuwa confused confused katika mada zake na mnaomkumbuka alizoea kutembea na kikapu cha ukiri akiweka material yake,tulipokuwa tuna argue naye alizoea kusema kuwa inawezekana mko sahihi lakini if you want to pass your exam you have to write what your teacher wants to read,na from then nilianza ku question bahadhi ya doctorates za watu.
Sisi huyu Van Donge alitufundisha politics of underdeveloped countries miaka ya mwanzo ya 80. Kiukweli alikuwa na upeo mkubwa sana sema tu kuwa baadhi ya watu walikuwa hawamuelewi. Je OMEGA ulikuwa mlimani wakati huo? unawakumbuka Dr campbell,Dr Munishi, Prof Bavu, Dr.katabaro Miti, Sr Kente,Liviga,Dr Nindi,Shayo wa DS, Dr Msabaha n.k. Je unawakumbuka mzee punch na mambo ya hall three
 
Hivi Professor Shivji ni mwanasiasa? Mbona namchango mzuri tu katika taifa hili. Hata katika jamii kuna watu wengi wanamichango muhimu na sio wanasiasa. Dr Shule alikuwa na ujumbe na aliuwasilisha vizuri tu na wala hakusema kwamba siasa sio muhimu. After all sio wote tunaweza kuwa wanasiasa.
 
Siku hizi kuna u doctor wa kupewa kama zawadi unaitwa "U DOCTOR WA HESHIMA" kama aliopewa KIKWETE kule Kenya na aliopewa REGINALD MENGI, hivyo nadhani hata huyo Clesencia Shule alipata hiyo bahati ya kutunukiwa u doctor.

Kwa upande mwingine ninavyoelewa mimi U professor hausomewi, hakuna mtu amesoma akata degree nyingi mpaka akaitwa Professor.
Mtu wa elimu yoyote anaweza kuwa Professor kama ataweza kugundua kitu ambacho hakijagunduliwa na mtu yeyote, na kudhibitishwa kuwa ni kweli basi mtu huyo hutunukiwa uprofessor.

Acha kuchanganya madesa
Waliogundua simu, internet wametunukiwa huo u professor?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom