Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Tuna miezi 6 kwenye Mahusiano yangu mi na yeye,
ile miezi miwili ya mwanzo alikuwa anapata period zake fresh tu lakini sasa ni miezi 4 inaenda bila kupata period,
Alishapima Mimba mara 2, wiki ya pili ya mwezi wa kwanza baada ya kukosa period, na mwezi mmoja baadae zote ikaonekana hana Mimba yuko fresh,
Lakini hofu ni kwamba miezi 4 sasa imepita hakuna cha period wala nini sijui kama kuna tatizo lolote kwake,
Nimeambatanisha baadhi ya chart zake hapa sijui kama kuna ka msaada,
NB
Kwangu haina shida kwa sababu siku zote mi nachakata tu ila hofu kwangu iko kwake kwa nini miezi 4.
Cc Zero iq
ile miezi miwili ya mwanzo alikuwa anapata period zake fresh tu lakini sasa ni miezi 4 inaenda bila kupata period,
Alishapima Mimba mara 2, wiki ya pili ya mwezi wa kwanza baada ya kukosa period, na mwezi mmoja baadae zote ikaonekana hana Mimba yuko fresh,
Lakini hofu ni kwamba miezi 4 sasa imepita hakuna cha period wala nini sijui kama kuna tatizo lolote kwake,
Nimeambatanisha baadhi ya chart zake hapa sijui kama kuna ka msaada,
NB
Kwangu haina shida kwa sababu siku zote mi nachakata tu ila hofu kwangu iko kwake kwa nini miezi 4.
Cc Zero iq