Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Haijarishi ni round ngapi tutaenda yaani nikikutana nae ata iwe round Moja nikimaliza baada ya muda flani huwa nachoka aswaa, usingizi na viungo vyote nahisi uchovu wa hali ya juu,
Kwa wengine hii hali haitokei ata tupige round 5+ ila kwake yeye tu,
Tatizo ni nini wakuu.?
Cc Zero IQ
Kwa wengine hii hali haitokei ata tupige round 5+ ila kwake yeye tu,
Tatizo ni nini wakuu.?
Cc Zero IQ