Huyu demu kanizidi ujanja naombeni maujanja.

Hajakuzidi maujanja ni wewe tu na maharaka yako.
Una muda gani toka umjue au kuwa karibu naye na kuchati and so on?. Tuliza ball kuwa makini na kama hataki hizo topics za mapenzi ziache zungumza anachotaka. Si unajua lazima mdada aringe kidogo asijionyeshe kuwa ni rahisi rahisi tu, ee.. Kama ni wako ipo siku utasema na atakusikiliza and I am telling u it will be interested to all of U.

Tulia kijana usiwe na maharaka.

Muda ni miezi mitatu sasa! ushauri wako uko boma sana
 
kwa hayo maneno yako..unaonekana uko fasta sana kijana, punguza mwendo! warembo wazuri mambo hayo hawapendi tena usipoangalia utamkosa! hapa ni mwendo wa pole, mwisho wa siku atakaa tu kwenye mstari vumilia tu..wakati mwingine inaweza chukua hata mwaka mzima lakini mwiso wake ni utamu!
Ni kweli mimi niafsta ila nataka niachane na hayo madill
 
jifanye kumpotezea kwa muda mwenyewe atakaa anga zako,kuwa busy sana mwenyewe utamuona. ila siku ukionana naye akikuuliza usinitaje kwamba me ndo nmekwambia umpotezee,coz watu wa design yako wanakuwa mabushoke(mme *****)
Hii nimeipenda itanisaidia!
 
Du! Pole sana mkali, lakini hiyo ni ishu ndogo sana jaribu kumpelekea gift ambazo zinashoo luv kwake na uambatanishe na massege kumwonyesha hisia ya mapenzi uliyo nayo kwake. na kisha umsikilizie.

Nimejaribu kidogo, nitaongeza zaidi!
 
Hayupo kwenye relation? Maana huenda ana strong commitment, kama hana basi jifanye kuwa mbali na issue za mapenzi uone mwelekeo wake.

nitakaza uzi nione kwanza amekaaje
 
Hapo mi bado napata wakati mgumu,sasa huyu mnaye mpa maujanja yeye au sisi tuna uhakika gani kama huyo demu hayupo hapa JF?Sasa kama maujanja haya atakuwa anayasoma si bado jamaa ataendelea kuwa na wakati mgumu?

hayumo humu Jf, hata kama yumo mimi simo kwenye JF
 
be cool and relax just pretend that you value your friendshp kuliko k2 chochote, muonyeshe unampenda kwa vitenda na si maneno, take her out, mnunulie zawad na msaidie kwa lolote, mwambie unampenda just kila umwonapo lakn dnt b too serious unapotamka maneno hazo kias cha kuatrack ye kukwambia kuchange topgc ila mwonyeshe unawv akiwa na mwngne amcye unahc anaweza ingilia mapenz yenu
 
kaka,huyo binti msikilizie 2 kmtindo atajivuta mwentewe xema cha msingi ongeza juhud na bidii na mounyeshe kuwa una mawazo ya future coz watoto wengi now days wanapenda future c unajua "roof has curved in"
 
Back
Top Bottom