Hajakuzidi maujanja ni wewe tu na maharaka yako.
Una muda gani toka umjue au kuwa karibu naye na kuchati and so on?. Tuliza ball kuwa makini na kama hataki hizo topics za mapenzi ziache zungumza anachotaka. Si unajua lazima mdada aringe kidogo asijionyeshe kuwa ni rahisi rahisi tu, ee.. Kama ni wako ipo siku utasema na atakusikiliza and I am telling u it will be interested to all of U.
Tulia kijana usiwe na maharaka.
Ni kweli mimi niafsta ila nataka niachane na hayo madillkwa hayo maneno yako..unaonekana uko fasta sana kijana, punguza mwendo! warembo wazuri mambo hayo hawapendi tena usipoangalia utamkosa! hapa ni mwendo wa pole, mwisho wa siku atakaa tu kwenye mstari vumilia tu..wakati mwingine inaweza chukua hata mwaka mzima lakini mwiso wake ni utamu!
Hii nimeipenda itanisaidia!jifanye kumpotezea kwa muda mwenyewe atakaa anga zako,kuwa busy sana mwenyewe utamuona. ila siku ukionana naye akikuuliza usinitaje kwamba me ndo nmekwambia umpotezee,coz watu wa design yako wanakuwa mabushoke(mme *****)
Kwamba hata mbuyu ulianza kama mchichakaka kazana tu-mwanzo huwa mgumu
Hapo mi bado napata wakati mgumu,sasa huyu mnaye mpa maujanja yeye au sisi tuna uhakika gani kama huyo demu hayupo hapa JF?Sasa kama maujanja haya atakuwa anayasoma si bado jamaa ataendelea kuwa na wakati mgumu?
Kama jamaa alivyosema mwanzoni hapo wewe kaza tu mwendo, weka na Four wheel drive kabisaKweli nitaanza kama mchicha!
Simamia kucha jitahidi sana tu mwisho atamiss usumbufu wako atakutafuta mwenyeweHii nimeipenda sana na leo nitaionyesha tu