kaly
Member
- Aug 6, 2011
- 63
- 3
Hi wana jf.
Mimi nikijana ambaye nategemea kuoa soon nina demu wang na ni wa kawaida sana ila nashangaa kwani demu anapenda kujisifia sana,mara nyingi namsikia akiniambia kuwa yeye ni mzuri,ana umbo nzuri,wanawake kama yeye ni wachache sana na kila akipigiwa mluzi tu au atongozwe njian lazima aniambie. Hapa kuna upendo kweli?
Mimi nikijana ambaye nategemea kuoa soon nina demu wang na ni wa kawaida sana ila nashangaa kwani demu anapenda kujisifia sana,mara nyingi namsikia akiniambia kuwa yeye ni mzuri,ana umbo nzuri,wanawake kama yeye ni wachache sana na kila akipigiwa mluzi tu au atongozwe njian lazima aniambie. Hapa kuna upendo kweli?