Huyu dada, ni Mzuri wa Sura,Umbo na Rangi. Lakini Usiku silali Kabisa

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,272
23,046
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.

ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.

Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.

Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.

Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.

Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
 
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.

ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.

Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.

Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.

Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.

Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?

Ana mwili mkubwa
 
loving eyes can never see kijana hujapenda bado unamtamani tu huyo dada kwa uzuri wake mtu ukipenda mbona huko kukoroma utahisi nyimbo za celine dion,plus kama huwezi kabisa ungeshakuwa umejaribu kumtafutia dawa kabla hujaja kumwanika hapa
 
Hapana...mwili wake umegawanyika vizuri tu juu mwembamba kiasi chini ndo kajengeka kwa hips na makalio kiasi.lakini huwezi mwita bonge.

Awe ana fanya mazoezi labda mwili ni mkubwa.
Vinginevyo Mpeleke hapo Muhimbili mkuu kitengo cha mifumo ya hewa, koromeo na masikio. Kuna tiba mbalimbali kuanzia ushauri hadi upasuaji.
Kupenda kuna gharama mkuu....
 
Kulala na mtu anayekoroma kweli ni changamoto. Uwe unamfinya alale vizuri huku ukitafuta tiba
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hapana...mwili wake umegawanyika vizuri tu juu mwembamba kiasi chini ndo kajengeka kwa hips na makalio kiasi.lakini huwezi mwita bonge.

Awe ana fanya mazoezi labda mwili ni mkubwa.
Vinginevyo Mpeleke hapo Muhimbili mkuu kitengo cha mifumo ya hewa, koromeo na masikio. Kuna tiba mbalimbali kuanzia ushauri hadi upasuaji.
Kupenda kuna gharama mkuu....
 
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.

ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.

Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.

Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.

Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.

Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
Huyo dada ni mnene au mwembamba?
90% ya watu wanene hukoroma wakilala. Tafuta earphone uwe unaweka masikioni wakati wa kulala. Au mtafutie anti snoring drugs.
 
mwambie afanye mazoezi huenda ana uzito mkubwa au ana matatizo kwenye mfumonwake wa hewa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
w
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.

ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.

Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.

Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.

Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.

Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
weka picha yake na namba zake za simu nikushauri
 
Usiwe mpumbavu. Kumwanika unafaham wewe? Nmemwanika haya umemfahamu?msiwe mnakurupuka nyie madogo.


loving eyes can never see kijana hujapenda bado unamtamani tu huyo dada kwa uzuri wake mtu ukipenda mbona huko kukoroma utahisi nyimbo za celine dion,plus kama huwezi kabisa ungeshakuwa umejaribu kumtafutia dawa kabla hujaja kumwanika hapa
 
Uzito wake ni wa kawaida tu ndugu yangu.sielewi tatizo sasa litakuwa nini maana ni changamoto sana kwangu.

mwambie afanye mazoezi huenda ana uzito mkubwa au ana matatizo kwenye mfumonwake wa hewa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom