Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,272
- 23,046
Nmeanza kudate naye miezi kadhaa sasa. Ni dada mzuri kwa sifa zote za uzuri na rangi yake ya usafi...she is beautiful. Shida kubwa.
ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.
Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.
Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.
Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.
Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?
ANAKOROMA. yaani akilala kidogo tu anaanza kukoroma. Usiku silali maana mimi mtu akikoroma nakereka sana.siwezi kulala hata kidogo.
Hata asubuhi itokee tumechelewa kuamka maybe amekuja ni weekend kalala kwangu saa tatu nne asubuhi anakoroma sana tu.
Sielewi nifanye nini au nimsaidiaje maana kwangu hili ni tatizo nawaza nikimwoa tutaweza lala pamoja kweli?maana kiukweli inafikia hatua sitamani aje kulala kwangu.maana napata kero kubwa sana.
Sipendi kulala na mtu anayekoroma kiukweli.nami huwa nikilala na mtu namwambia ikitokea nmekoroma aniamshe bila kusita.maana sipendi kukoroma ingawa sina tabia hiyo.
Sasa kwa huyu dada nifanye nini. Please siyo ushauri wa kuambiana nivumilie.siwezi coz maana yake sitakuwa nikilala kwa hiyo kero.kuna dawa za kusaidia mtu aache kukoroma?