CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project itakayo saidia ndugu zao ambao ni unemployed.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.
Ndungu wengi sana hupenda kuona baadhi ya ndugu zao wanapata shida ili waendelee kunyenyekewa.
Hii ni tofauti kwa Wahindi, Wachina na hata Waarabu, ingawa pia Wasomali wanajitahidi sana kwa hili.
Cha Kushangaza unakuta ndugu wana compete kwenye the same biashara, wote wana milik Mabasi, au wote wana Maduka ya Hardware.