Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Huyu bwana ni kiongozi wa Taifa fuani ambapo nimesoma habari zake kuhusu namna anavyochukulia masilahi ya watumishi katika nchi yake, na nimepata picha huenda watu anaowaajiri katika makampuni au biashara zake (kama anazo) anawalipa mishahara midogo sana na haki zao zingine sijui kama hata anawapa.
Natamani kumtaja ila wacha nimuhifadhi ili kumpa muda kuona kama atajirejebisha huko mbeleni ila kiukweli mpaka sasa ameshaonyesha kutojali kabisa maisha ya watu wake.
Cha ajabu, kiongozi huyo kuna mambo mengine anafanya ambayo yanatumia vibaya fedha za watu anaowaongoza lakini haonekani kujali kabisa kwasababu anayoyafanya ni kwa masilahi yake lakini anasahau kuwa ayafanyayo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Wacha tuendelee kumtazama mradi siku zinaenda.
Natamani kumtaja ila wacha nimuhifadhi ili kumpa muda kuona kama atajirejebisha huko mbeleni ila kiukweli mpaka sasa ameshaonyesha kutojali kabisa maisha ya watu wake.
Cha ajabu, kiongozi huyo kuna mambo mengine anafanya ambayo yanatumia vibaya fedha za watu anaowaongoza lakini haonekani kujali kabisa kwasababu anayoyafanya ni kwa masilahi yake lakini anasahau kuwa ayafanyayo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Wacha tuendelee kumtazama mradi siku zinaenda.