The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,440
- 10,232
Wewe unajiskia vibaya mwanamke akikulipia lodge wakati una manhoodManhood ndio inafanya mwanaume atafute lodge
Wewe unajiskia vibaya mwanamke akikulipia lodge wakati una manhoodManhood ndio inafanya mwanaume atafute lodge
Ikiwa kapenda yeye alipe its okey sio wewe useme ndio jukumu lake ili wewe ukagonge tu how come?Wewe unajiskia vibaya mwanamke akikulipia lodge wakati una manhood
Yaani umenikumbusha kisanga cha mshikaji wangu hapa mtaani.Huyu binti tumekutana kwenye mitandao ya Kijamii. Yeye mwenyewe akanipenda. Nami nlipomwangalia nikamwona ni mzuri anapendeka.
Far more she is working na anaishi na wazazi wake. So pesa hazimsumbui.anazo coz hana majukumu na kwao wapo vizuri.
Binti ni mweupe sana tu kiasili,umbo la wastani hana chura kubwa. Ana sura nzuri.kiufupi analika na mwanaume yeyote yule na unaweza enda naye popote kwa majidai.
Shida ni siku anataka nikamle.nilimwambia its ok tafuta Hotel unambie nije.akashtuka."love mimi ndo nitafute Hotel?" Nikamwambia Yes. Kwani shida nini hapo?
"Akasema jamani yaani nilipie hotel kwenda kuti.wa?" Nlimshangaa. Nlimshangaa sababu yeye ndo alitaka nikamle.sasa anataka mimi nikalipie kwa suala ambalo yeye ndo analitaka! Nlimshangaa sana.
Ningetaka mimi huduma ningelipia.sasa yeye ndo ka initiate hilo suala anasema yupo so horny.nikamwambia unasemaje.akanambia love njoo uninanii... Sasa yaani nyege zake yeye nikagharamie mimi? Hii ni akili ya wapi?
Nimemkatia mawasiliano since that day.maana nilimwona ni kilaza hajaelimika.sasa ameanza tena kutuma texts za kunisalimia. Namcheck tu anavyotaka tena kujilengesha. Atafute wanaume wa kugharamia nyege zake.siyo mimi.
Hawezi kuwa nayo na story zake za uongo.Tafuteni hela, asubuhi yote hii unapiga story za umalaya sijui kama una kazi wewe
Au ndio watoto wa CBE
Sawa mkuu ila si mmeshafahamiana kwa kiasi fulani?Huwezi peleka mwanamke mmekutana kwenye mitandao home. Home kwangu nitaleta mwanamke ambaye ndio mchumba.
Baby njoo nitalipia hotelTafuteni hela, asubuhi yote hii unapiga story za umalaya sijui kama una kazi wewe
Au ndio watoto wa CBE
Mkuu hadi demu unataka koneksheniMkuu hiyo fursa hebu tupe sisi mabaharia tushughulikie hizo nyege zake chap kabla maisha hayajaanza kuwa magumu
Msomeni mleta uzi, ametakiwa akadoneti nyege so atoe nyege kwa kuzilipia?Hela ya kulipia unayo lakini? Binafsi kama mwanaume ni jukum langu kulipia hizo gharama ndogo ndogo. Vipi hauna kwako mpaka iwe gest?
Tafuteni hela, asubuhi yote hii unapiga story za umalaya sijui kama una kazi wewe
Au ndio watoto wa CBE
Yaani umenikumbusha kisanga cha mshikaji wangu hapa mtaani. Huyu jamaa yangu alikuwa anamtia demu fulani hivi ila si demu wake, ni mtu mzima kiumri shinda mshikaji wangu. Basi yule mama kila akitaka kutiwa anampigia simu jamaa na kumwambia atafute Guest, jamaa akawa anafanya hivyo hapo mwanzoni. Jamaa ilikuwa inamuuma sana, siku ya siku jamaa akamtolea demu nje na kumwambia leo sina hela lipia wewe Guest, demu akakataa na jamaa akamtema. Baada ya wiki demu anampigia simu jamaa na kumsema huku akimkashifu. Wanawake bwana, sijuwi wana akili gani?
Tuko kwenye uchumi wa kati bado mnaviziana kulipia hotel ya kugegedana kuna shida mahali, fanya hivi mwambie akutumie pesa uandae mazingira easy si yuko na kipato
Wanaume wa sikuhizi mna matatizo ka huna hela girlfriend wa nini, ulipiwe hotel kabisa acheni kujizalilisha
Manhood ndio inafanya mwanaume atafute lodge
Sawa mkuu ila si mmeshafahamiana kwa kiasi fulani?
Ikiwa kapenda yeye alipe its okey sio wewe useme ndio jukumu lake ili wewe ukagonge tu how come?
Naona wewe mgeni kwenye hayo mambo ya mitandao ya kijamii, huenda unachat na dume au mwanamke ambaye hata siye unayemuona kwenye picha yuko kwenye mission za kukuibia hata buku kumi.Huyu binti tumekutana kwenye mitandao ya Kijamii. Yeye mwenyewe akanipenda. Nami nlipomwangalia nikamwona ni mzuri anapendeka.
Far more she is working na anaishi na wazazi wake. So pesa hazimsumbui.anazo coz hana majukumu na kwao wapo vizuri.
Binti ni mweupe sana tu kiasili,umbo la wastani hana chura kubwa. Ana sura nzuri.kiufupi analika na mwanaume yeyote yule na unaweza enda naye popote kwa majidai.
Shida ni siku anataka nikamle.nilimwambia its ok tafuta Hotel unambie nije.akashtuka."love mimi ndo nitafute Hotel?" Nikamwambia Yes. Kwani shida nini hapo?
"Akasema jamani yaani nilipie hotel kwenda kuti.wa?" Nlimshangaa. Nlimshangaa sababu yeye ndo alitaka nikamle.sasa anataka mimi nikalipie kwa suala ambalo yeye ndo analitaka! Nlimshangaa sana.
Ningetaka mimi huduma ningelipia.sasa yeye ndo ka initiate hilo suala anasema yupo so horny.nikamwambia unasemaje.akanambia love njoo uninanii... Sasa yaani nyege zake yeye nikagharamie mimi? Hii ni akili ya wapi?
Nimemkatia mawasiliano since that day.maana nilimwona ni kilaza hajaelimika.sasa ameanza tena kutuma texts za kunisalimia. Namcheck tu anavyotaka tena kujilengesha. Atafute wanaume wa kugharamia nyege zake.siyo mimi.
Najitolea kuwalipiaNdo hataki. Yaani nyege zake yeye anataka gharama niingie mimi.