Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Huyu binti tumekutana kwenye mitandao ya Kijamii. Yeye mwenyewe akanipenda. Nami nlipomwangalia nikamwona ni mzuri anapendeka.
Far more she is working na anaishi na wazazi wake. So pesa hazimsumbui anazo coz hana majukumu na kwao wapo vizuri.
Binti ni mweupe sana tu kiasili, umbo la wastani hana chura kubwa. Ana sura nzuri kiufupi analika na mwanaume yeyote yule na unaweza enda naye popote kwa majidai.
Shida ni siku anataka nikamle. Nilimwambia its ok tafuta Hotel unambie nije akashtuka."love mimi ndo nitafute Hotel?" Nikamwambia Yes. Kwani shida nini hapo?
"Akasema jamani yaani nilipie hotel kwenda kuliwa?" Nilimshangaa. Nlimshangaa sababu yeye ndio alitaka nikamle sasa anataka mimi nikalipie kwa suala ambalo yeye ndio analitaka! Nilimshangaa sana.
Ningetaka mimi huduma ningelipia. Sasa yeye ndio ka initiate hilo suala anasema yupo so horny. Nikamwambia unasemaje akanambia love njoo uninanii. Sasa yaani ugwadu wake yeye nikagharamie mimi? Hii ni akili ya wapi?
Nimemkatia mawasiliano since that day. Maana nilimwona ni kilaza hajaelimika. Sasa ameanza tena kutuma texts za kunisalimia. Namcheck tu anavyotaka tena kujilengesha. Atafute wanaume wa kugharamia nyege zake siyo mimi.
Far more she is working na anaishi na wazazi wake. So pesa hazimsumbui anazo coz hana majukumu na kwao wapo vizuri.
Binti ni mweupe sana tu kiasili, umbo la wastani hana chura kubwa. Ana sura nzuri kiufupi analika na mwanaume yeyote yule na unaweza enda naye popote kwa majidai.
Shida ni siku anataka nikamle. Nilimwambia its ok tafuta Hotel unambie nije akashtuka."love mimi ndo nitafute Hotel?" Nikamwambia Yes. Kwani shida nini hapo?
"Akasema jamani yaani nilipie hotel kwenda kuliwa?" Nilimshangaa. Nlimshangaa sababu yeye ndio alitaka nikamle sasa anataka mimi nikalipie kwa suala ambalo yeye ndio analitaka! Nilimshangaa sana.
Ningetaka mimi huduma ningelipia. Sasa yeye ndio ka initiate hilo suala anasema yupo so horny. Nikamwambia unasemaje akanambia love njoo uninanii. Sasa yaani ugwadu wake yeye nikagharamie mimi? Hii ni akili ya wapi?
Nimemkatia mawasiliano since that day. Maana nilimwona ni kilaza hajaelimika. Sasa ameanza tena kutuma texts za kunisalimia. Namcheck tu anavyotaka tena kujilengesha. Atafute wanaume wa kugharamia nyege zake siyo mimi.