Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Kumbe ni wewe? lolNakupenda pia
Kumbe ni wewe? lolNakupenda pia
ni kweli mkuu, lakini kwa huyu nimeshindwa. nimejaribu kumtumia card za mapenzi, dedication za nyimbo za wakina jeniffer Lopez hadi ule wa "when i need you...just close my eyes.." na ule wa my "heart will go on" lakini wapi. nimemwimbia hadi ule wimbo wa ratipha wa mb doggy. Mia
Aisee!
vipi ndoa yako imeishia wapi mzee wa .mia
Huyo Binti lazima atakuwa Malaria Sugu.
Kama huyo kazidisha mappozz, si utangaze nia kwingine? Mbona bado wako wengi ?
Nahic atakua anashindwa kutofautisha maisha yako ya jf na uhalisia wako,nakushauri mwonyeshe huo utofauti ili amin kile unachomwambia na akukubalie ombi lako!onyesha hica zako kwa vitendo keshachoka maneno mwenzio!
hadi tunaongea kwenye simu, tumesha peana account za fb. lakini anaruka mitego kinoumer. nimetumia ujanja wangu wote lakini wapi. mimi siwezi kutongoza dume coz hadi nmtongoze nakuwa nimemfanyia uchunguzi wa hali ya juu ikiwemo kumtukana ili nione ustahimilivu wake na ni jinsi gani amekomaa kiakili. Mia
Nakupenda pia mpenzi mwaa, 2ma vocha tena darlin, afu ni2mie lak kwa mpesa ya shopin..lol
Figganigga leo kafunguka....:lol:!
Nina wasiwasi unahudumia mkaka mwenzio......wewe hujajua watu wanajua kuigiza kwelikweli.....utadanganywa na sauti nyoyoro...POLE
hapana mkuu. yaani ukimsikia sauti yake ilivyo nyororo hadi wewe unaweza kuwa na hamu. Mia
Duh kamtaja mpaka xg? Mbona yalishapita hayo...hivi hajui kama huwa hauwafuati ila wanakufuata lol... Si unajua she doesnt like pressures.. Yule anapenda mambo yaende slow step by step.. Be patient..
Ukimuuliza anasemaje?ndio wakati navuta pumzi nahitaji kupata maneno ya kumchombeza chombeza. Mkuu sijajua wengine wanatumia mbinu gani hadi wanapata. marafiki zangu wote wa jf wameshapata. bado mimi tu, bahati mbaya ninayempenda haeleweki, sijui ananipenda au hanipendi. Mia
Nakupenda pia
dah yaan n kwakuwa natumia simu 2,ningekutwanga like..ah ha ha ha ha ha ha ha ha bado kdogo ongeza juhud,mtoto anaelekea kibla huyo mshikie kisu tu..
mwenzako alikuwa staki nataka siunaoana jina lake kabana kaachiaMkuu wewe unanidanganya. unataka nianze kutapatapa nikose pote. siku ile nilikuomba nizae na wewe ukakataa, ukasema eti unaye wa kwako. eti unampenda sana. yeye ana mtoto tayari lakini wewe huna. nikakubembeleza nikuzalishe lakini ukantolea nje. leo kweli umenipenda au unantania. mwenzio nahitaji kuanza maisha ya ndoa so nipo serious kama vipi sema nibadilishe mawazo kama. tunaandikishana kwa invisible kabisa kama ukinikimbia unanilapa inakula kwako. Mia
wewe jamaa ni noma umeiva kweli nimeipenda hyo staili yako ya kutukana
me sweetlady ndo ananikosha cyo cri