Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Bibi kapigwa mtama na Kibaka na kuporwa simu, Kainuka na kuanza kumkimbiza kibaka, Kibaka kuona Bibi hakati tamaa akatupa simu, Bibi kaikota na kuendelea kumkimbiza kibaka,
Kibaka akaanza kulia: "Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua"
Bibi kajibu "Bado Mtama"
Bibi hapendagi ujinga…
Kibaka akaanza kulia: "Bibi kama ni simu yako si tayari umechukua"
Bibi kajibu "Bado Mtama"
Bibi hapendagi ujinga…