matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,571
- 15,319
Ni bibi Mzee
Kapinda mgongo na dental formula imebaki nusu.
Mvi kichwa Kizima.
Leo nimemfuatilia nimeshangaa
1: anafuga Kuku na kuwahudumia mwenyewe. Sio Kuku tu Bali hata mzinga na kanga. Anatotesha na kuvilea vifaranga mwenyewe bila msaada.
2: Anaamka asubuhi anafagia Nyumba nzima. Anafuta vumbi na kudeki.
3: Jioni anakimbia kanisani mazoezi ya kwaya kwa wakati na hachelewi.
4: Anajaza Maji kwenye matank na kuhakikisha choo na bafu ni visafi.
5: Anapata Muda wa kusoma kutanua ubongo. Vitabu mbalimbali.
6: Saambili anapata muda wa kuangalia Habari ili asiachwe nyuma.
7: Anapata Muda wa kupigia Simu watoto wake na wadau mbalimbali kusocialize.
8: Anaamka mapema SAA kumi na moja kuanzia siku.
9: Analimisha Mashamba na Bustani za mbogamboga.
Wako wapi mabinti wenye Viwango angalau vya bibi
Kapinda mgongo na dental formula imebaki nusu.
Mvi kichwa Kizima.
Leo nimemfuatilia nimeshangaa
1: anafuga Kuku na kuwahudumia mwenyewe. Sio Kuku tu Bali hata mzinga na kanga. Anatotesha na kuvilea vifaranga mwenyewe bila msaada.
2: Anaamka asubuhi anafagia Nyumba nzima. Anafuta vumbi na kudeki.
3: Jioni anakimbia kanisani mazoezi ya kwaya kwa wakati na hachelewi.
4: Anajaza Maji kwenye matank na kuhakikisha choo na bafu ni visafi.
5: Anapata Muda wa kusoma kutanua ubongo. Vitabu mbalimbali.
6: Saambili anapata muda wa kuangalia Habari ili asiachwe nyuma.
7: Anapata Muda wa kupigia Simu watoto wake na wadau mbalimbali kusocialize.
8: Anaamka mapema SAA kumi na moja kuanzia siku.
9: Analimisha Mashamba na Bustani za mbogamboga.
Wako wapi mabinti wenye Viwango angalau vya bibi