Mungu si Athmani maana yake ni kwamba Mungu sio "mwanadamu" kurahisisha neno hilo ndo maana waswahili wakaamua kutaja jina kabisa la mtu ili ieleweke zaidi.
Ni kweli kabisa MUNGU si mwanadamu ni mtakatifu mnoooo
Dah! Umewaza nini hadi kuja na swali hili? Mie nafikiri walichagua jina common tu la binadamu hasa waishio mwambao wa pwani ambako ndiko misemo ya kiswahili hutumika sana,yaani ni sawa na kusema Mungu si Binadamu
Tanya;
Mungu si Athmani maana yake ni kwamba Mungu sio "mwanadamu" kurahisisha neno hilo ndo maana waswahili wakaamua kutaja jina kabisa la mtu ili ieleweke zaidi.
Ni kweli kabisa MUNGU si mwanadamu ni mtakatifu mnoooo
Mkuu asante kwa maelezo yako mazuri, hii ni misemo ya wa wahenga na mara nyingi huwa ina mafundisho fulani kwa jamii husika! ndo maana cjui na sielewi hasa huyu Athmani alifanya nn mpaka wakaamua kusema Mungu sio Athmani!
Nahisi kuna kitu huyo( ) alikifanya!
mzee wa nguna;
Dah! Umewaza nini hadi kuja na swali hili? Mie nafikiri walichagua jina common tu la binadamu hasa waishio mwambao wa pwani ambako ndiko misemo ya kiswahili hutumika sana,yaani ni sawa na kusema Mungu si Binadamu
Wapoti;
Inamaanisha kuwa mungu si mwanadamu katika lolote hawezi kudanganywa wala kupendelea upande mmoja
Mkuu, huyu Athmani alitolewa kama mfano kwa wengine, hasa jamii iliyomfahamu Athmani halisi na tabia zake alizokuwa nazo!
Mkuu asante umenipa mwanga wa kutosha juu ya hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.