Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,591
- 1,599
Kuna utani kuwa waafrika wengi tukiwa tumelala usingizi, huwa tunaweka mikono yetu maeneo ya viungo vya uzazi wakati wenzetu wazungu huwa mikono inawekwa kichwani.
Hii tabia ya kuweka mikono kwenye maungo ya uzazi imetafsiriwa na wengi kuwa muda mwingi sisi watu weusi/waafrika huwa tunafikiria ngono zaidi kuliko mambo ya kimsingi ya kimaendeleo.
Sasa mimi nina mwanangu ana miezi minne, kila muda anaponyonya huwa anaweka mkono wake kichwani na hata anapolala mara nyingi mikono yake iko kichwani. Anakuwa kama vile anafikiria kitu fulani hivi ingawa bado ni mdogo sana ki-umri.
Hivi hii si ndio ishara kuwa atakuwa genius? Nasema hivi kwa sababu na babu yake alikuwa ni thinking machine!
Nawasilisha wanajamvi!
Hii tabia ya kuweka mikono kwenye maungo ya uzazi imetafsiriwa na wengi kuwa muda mwingi sisi watu weusi/waafrika huwa tunafikiria ngono zaidi kuliko mambo ya kimsingi ya kimaendeleo.
Sasa mimi nina mwanangu ana miezi minne, kila muda anaponyonya huwa anaweka mkono wake kichwani na hata anapolala mara nyingi mikono yake iko kichwani. Anakuwa kama vile anafikiria kitu fulani hivi ingawa bado ni mdogo sana ki-umri.
Hivi hii si ndio ishara kuwa atakuwa genius? Nasema hivi kwa sababu na babu yake alikuwa ni thinking machine!
Nawasilisha wanajamvi!