mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Jamaa amepata course mbalimbali za ICT anakazi nyingi za ICT amezifanya na kwa kweli ukimfuatilia yuko deep.
Mjamaa mwingine a na degree ya education physics na ICT chuo kikuu kamanmasomo yako ya elective.... Sasa ukiwaweka pamoja wa education anaonekana hana nondo... He Tupi nimchukue hapa..ushauri
Mjamaa mwingine a na degree ya education physics na ICT chuo kikuu kamanmasomo yako ya elective.... Sasa ukiwaweka pamoja wa education anaonekana hana nondo... He Tupi nimchukue hapa..ushauri