Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,056
- 74,465
Kwahiyo jibu langu hilo liko sawa?Huyu siyo Idd Amin kama wengi walivyofikiri.... Bali ni kama alivyotajwa hapo juu ni Joseph Ogola Olita aliigiza filamu ya Idd Amin ya Rise and Fall of Idd Amin iliyokuwa maarufu sana ni Mkenya wa Wilaya ya Siaya na alifariki tarehe 1 Juni 2014 siku ya Jumapili na ugonjwa wa shinikizo la damu BP akiwa na miaka 70.