Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mkuu judgement, kwanza thread nzito kama hii kwa nini umeiweka chichat badala ya mmu?
Anyway,matatizo haya ni ya kawaida ,unakuta mke kwa mume,wakwe na mashemeji mpole,kwa wafanyakazi( walinzi,housegirl,dereva etc) anakuwa kiumbe wa ajabu na anaweza hata kudiriki kuwanyima chakula au kuwapa makombo.Dawa ya hili tatizo ni kumpiga mkewe total ban ya kukanyaga kwenye biashara zake,atakasirika atafura lakini mwisho atazoea. Haiwezekani biashara iendeshwe kwa mtindo huu with such a high labour turn out,haiwezekani,no way,vinginevyo utaishia kuua mtaji na wote mlale njaa na watoto wasisome.
Anyway,matatizo haya ni ya kawaida ,unakuta mke kwa mume,wakwe na mashemeji mpole,kwa wafanyakazi( walinzi,housegirl,dereva etc) anakuwa kiumbe wa ajabu na anaweza hata kudiriki kuwanyima chakula au kuwapa makombo.Dawa ya hili tatizo ni kumpiga mkewe total ban ya kukanyaga kwenye biashara zake,atakasirika atafura lakini mwisho atazoea. Haiwezekani biashara iendeshwe kwa mtindo huu with such a high labour turn out,haiwezekani,no way,vinginevyo utaishia kuua mtaji na wote mlale njaa na watoto wasisome.