Huyu Admini wa Dodoma Jiji FC ana utani na nani kwa hili Fumbo alilolitoa baada ya Wazambia kutupa raha wana Simba SC leo?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Apr 2, 2015
8,011
16,748
"Mchezaji unamvalisha Jezi ina Watu kibao halafu unataka awabebe wote na Kukimbia nao hizo nguvu atazitolea wapi?"

Chanzo: Ukurasa wa Dodoma Jiji FC.

Akhsante mno Admini kunywa Soda tu.
 
Back
Top Bottom