RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Abiria kama wewe ndio mliojaa kwenye haya mabasi yanayowachinja kama kuku.... basi linaburuzwa mmenyamaza tu mnataka kufika haraka, na akitokea mmoja au wawili wenye akili kama huyo unaemlaumu mnamuona mnoko kumbe ni mtu anaejitambua na kujali uhai wake
Sio kujidai mna haraka sana na mkipata ajali ndio wa kwanza kusema dereva alikuwa anakimbia sana...tukipata abiria kama hao at least mmoja tu ajali zitapungua ukiwa na haraka panda ndege mabasi ni usafiri wa taratibu.
Sio kujidai mna haraka sana na mkipata ajali ndio wa kwanza kusema dereva alikuwa anakimbia sana...tukipata abiria kama hao at least mmoja tu ajali zitapungua ukiwa na haraka panda ndege mabasi ni usafiri wa taratibu.