Huyo rafiki tupa kule! Hicho ki-playboy tupa kulee! Kwani nini?

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
YAANI KWAMBA....!
binti anamuintroduce rafikiye kwa mchumba wake (ambaye tayari wanaahadi za kuoana na pete za uchumba washavishana)....

katika mazingira ya kustaajabisha sana huyo mwanaume anamuapproach rafiki wa mchumba wake na wanaanza mapenzi MARA MOJA (kama mchakato wa simbion kuinunua dowans).....!finally mwenye mali 'binti' anahisi kitu,anachoshindwa ni justifications!

kama kawaida ya penzi kuwa ''kikohozi'' (kwa wale ambao si wazoefu),siku ya birthday ya mwanaume yule ''rafiki'' wa binti anamletea zawadi mchumba wa shoga yake!..zawadi ya C-H-U-P-I aina ya BOXER na pakiti kadhaa za ''studded for maximum pleasure''....!THIS WAS A SHOCK OF DECADE!......!

ANGALIZO:ninyi wa kina dada ninyi jaribuni kuwa na roho za kibinadamu!unawezaje kutembea na b/f wa shoga yako?halaf kama haitoshi unataka kuhakikisha wanaachana ili wewe ukabe nafasi?....hujui kwamba na wewe utaondoka kwa staili hiyo hiyo?...NASEMA HIVI...RAFIKI WA NAMNA HIYO TUPA KULEEEEEE KWENYE DUSTBIN!

na wewe kidume unaejiona unawamdu saaana wanawake wewe.....!CRAAP YOU!unamvalisha mtu pete haalafu unatembea na rafiki yake!SHAME ON YOU!......kwani kuoa lazima?kwanini ujicommit kwenye mahusiano ya kudumu wakati bado una chembechembe za UJANA?MABOOIFRIEND WA NAMNA HII TUPA KULEEEEEEE!...holy crap!

NDO HIVO.....!TUPA KULEEE!ni mwendo wa kujivua gamba huu!kil mtu alizaliwa peke yake na maisha yataendelea kama kawaida!

AMANI IWE NANYI
 
YAANI KWAMBA....!
binti anamuintroduce rafikiye kwa mchumba wake (ambaye tayari wanaahadi za kuoana na pete za uchumba washavishana)....

katika mazingira ya kustaajabisha sana huyo mwanaume anamuapproach rafiki wa mchumba wake na wanaanza mapenzi MARA MOJA (kama mchakato wa simbion kuinunua dowans).....!finally mwenye mali 'binti' anahisi kitu,anachoshindwa ni justifications!

kama kawaida ya penzi kuwa ''kikohozi'' (kwa wale ambao si wazoefu),siku ya birthday ya mwanaume yule ''rafiki'' wa binti anamletea zawadi mchumba wa shoga yake!..zawadi ya C-H-U-P-I aina ya BOXER na pakiti kadhaa za ''studded for maximum pleasure''....!THIS WAS A SHOCK OF DECADE!......!

ANGALIZO:ninyi wa kina dada ninyi jaribuni kuwa na roho za kibinadamu!unawezaje kutembea na b/f wa shoga yako?halaf kama haitoshi unataka kuhakikisha wanaachana ili wewe ukabe nafasi?....hujui kwamba na wewe utaondoka kwa staili hiyo hiyo?...NASEMA HIVI...RAFIKI WA NAMNA HIYO TUPA KULEEEEEE KWENYE DUSTBIN!

na wewe kidume unaejiona unawamdu saaana wanawake wewe.....!CRAAP YOU!unamvalisha mtu pete haalafu unatembea na rafiki yake!SHAME ON YOU!......kwani kuoa lazima?kwanini ujicommit kwenye mahusiano ya kudumu wakati bado una chembechembe za UJANA?MABOOIFRIEND WA NAMNA HII TUPA KULEEEEEEE!...holy crap!

NDO HIVO.....!TUPA KULEEE!ni mwendo wa kujivua gamba huu!kil mtu alizaliwa peke yake na maisha yataendelea kama kawaida!

AMANI IWE NANYI


Daaahhh!!............. Kwema lakini???
 
YAANI KWAMBA....!
binti anamuintroduce rafikiye kwa mchumba wake (ambaye tayari wanaahadi za kuoana na pete za uchumba washavishana)....

katika mazingira ya kustaajabisha sana huyo mwanaume anamuapproach rafiki wa mchumba wake na wanaanza mapenzi MARA MOJA (kama mchakato wa simbion kuinunua dowans).....!finally mwenye mali 'binti' anahisi kitu,anachoshindwa ni justifications!

kama kawaida ya penzi kuwa ''kikohozi'' (kwa wale ambao si wazoefu),siku ya birthday ya mwanaume yule ''rafiki'' wa binti anamletea zawadi mchumba wa shoga yake!..zawadi ya C-H-U-P-I aina ya BOXER na pakiti kadhaa za ''studded for maximum pleasure''....!THIS WAS A SHOCK OF DECADE!......!

ANGALIZO:ninyi wa kina dada ninyi jaribuni kuwa na roho za kibinadamu!unawezaje kutembea na b/f wa shoga yako?halaf kama haitoshi unataka kuhakikisha wanaachana ili wewe ukabe nafasi?....hujui kwamba na wewe utaondoka kwa staili hiyo hiyo?...NASEMA HIVI...RAFIKI WA NAMNA HIYO TUPA KULEEEEEE KWENYE DUSTBIN!

na wewe kidume unaejiona unawamdu saaana wanawake wewe.....!CRAAP YOU!unamvalisha mtu pete haalafu unatembea na rafiki yake!SHAME ON YOU!......kwani kuoa lazima?kwanini ujicommit kwenye mahusiano ya kudumu wakati bado una chembechembe za UJANA?MABOOIFRIEND WA NAMNA HII TUPA KULEEEEEEE!...holy crap!

NDO HIVO.....!TUPA KULEEE!ni mwendo wa kujivua gamba huu!kil mtu alizaliwa peke yake na maisha yataendelea kama kawaida!

AMANI IWE NANYI


Mkuu kwanza KOSA sio wasichana hata siku moja, Kosa ni huyu jamaa...ATAKUWA ni LAME wa kutupwa huyu, kwani hata kama ni cheating lazima ulambe rafiki wa mchumba ako? Hii inatokea sana kwa wanaume MALAMES...playaz always hachukui jirani au rafiki wa msichana wake for some reasons kama hizi....
 
Mkuu kwanza KOSA sio wasichana hata siku moja, Kosa ni huyu jamaa...ATAKUWA ni LAME wa kutupwa huyu, kwani hata kama ni cheating lazima ulambe rafiki wa mchumba ako? Hii inatokea sana kwa wanaume MALAMES...playaz always hachukui jirani au rafiki wa msichana wake for some reasons kama hizi....
Huyu jamaa ni hulka yake hata kwa huyo mpya atamcheat tu
 
Mkuu kwanza KOSA sio wasichana hata siku moja, Kosa ni huyu jamaa...ATAKUWA ni LAME wa kutupwa huyu, kwani hata kama ni cheating lazima ulambe rafiki wa mchumba ako? Hii inatokea sana kwa wanaume MALAMES...playaz always hachukui jirani au rafiki wa msichana wake for some reasons kama hizi....

sasa wenyewe wanajiita playaaz sijui pleaaz....!VYOVYOTE VILE...TUPA KULE

na hicho kidem dem dah!TUPA KULEEEE
 
wakina dada ''baadhi'' wana roho mbaya sana....au sijui ndio mapenzi mnasema vijana....?
 
na wewe kidume unaejiona unawamdu saaana wanawake wewe.....!CRAAP YOU!unamvalisha mtu pete haalafu unatembea na rafiki yake!SHAME ON YOU!......kwani kuoa lazima?kwanini ujicommit kwenye mahusiano ya kudumu wakati bado una chembechembe za UJANA?MABOOIFRIEND WA NAMNA HII TUPA KULEEEEEEE!...holy crap!
kumbuka uchumba siyo ndoa.................................................halafu kama amegutuka dakika za mwisho mwisho ya kuwa kumbe mdada yule alikuwa anmwingiza mkenge...........................kwanini njemba isifanye maamuzi murua ambayo hawezi kuyajutia..................................lol..........................wakati mwingine inalazimu uache mbachao kwa msalao upitao.........ili ukajionee mwenyewe kulikoni kusubiri kusimuliwa.......................................lol
 
Huyu jamaa ni hulka yake hata kwa huyo mpya atamcheat tu
siyo lazima Shantel............................jamaa kagutukia zabuni kuwa haina mashiko sasa afanyaje....................uchumbe ni ahadi ambayo siyo lazima itekelezeke......it is just a promise to marry but not necessarily one is already committed...............................kwa hiyo kuangaza-angaza rukhsa kabisa hapo............
 
Wasichana wanawapenda sana wanaume wadanganyifu huwa hajali ilimradi awe nae hatari sana
 
Yule kamata tupa kule

Acha ankal wangu akae hapa

Salamu kwa Kimey na wanafunzi wote wa Tumaini Yunivasite.

Tarehe 26 iko ukingoni.
 
sasa wenyewe wanajiita playaaz sijui pleaaz....!VYOVYOTE VILE...TUPA KULE

na hicho kidem dem dah!TUPA KULEEEE


hommie, UKITUPA KULEEEEE, sie wengine twaokota,
tunawapenda kweli hao broken hearted,
wewe ukitaka kutupa tu, sie twasema LETA HUKUUUUUUUUU................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom