Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
YAANI KWAMBA....!
binti anamuintroduce rafikiye kwa mchumba wake (ambaye tayari wanaahadi za kuoana na pete za uchumba washavishana)....
katika mazingira ya kustaajabisha sana huyo mwanaume anamuapproach rafiki wa mchumba wake na wanaanza mapenzi MARA MOJA (kama mchakato wa simbion kuinunua dowans).....!finally mwenye mali 'binti' anahisi kitu,anachoshindwa ni justifications!
kama kawaida ya penzi kuwa ''kikohozi'' (kwa wale ambao si wazoefu),siku ya birthday ya mwanaume yule ''rafiki'' wa binti anamletea zawadi mchumba wa shoga yake!..zawadi ya C-H-U-P-I aina ya BOXER na pakiti kadhaa za ''studded for maximum pleasure''....!THIS WAS A SHOCK OF DECADE!......!
ANGALIZO:ninyi wa kina dada ninyi jaribuni kuwa na roho za kibinadamu!unawezaje kutembea na b/f wa shoga yako?halaf kama haitoshi unataka kuhakikisha wanaachana ili wewe ukabe nafasi?....hujui kwamba na wewe utaondoka kwa staili hiyo hiyo?...NASEMA HIVI...RAFIKI WA NAMNA HIYO TUPA KULEEEEEE KWENYE DUSTBIN!
na wewe kidume unaejiona unawamdu saaana wanawake wewe.....!CRAAP YOU!unamvalisha mtu pete haalafu unatembea na rafiki yake!SHAME ON YOU!......kwani kuoa lazima?kwanini ujicommit kwenye mahusiano ya kudumu wakati bado una chembechembe za UJANA?MABOOIFRIEND WA NAMNA HII TUPA KULEEEEEEE!...holy crap!
NDO HIVO.....!TUPA KULEEE!ni mwendo wa kujivua gamba huu!kil mtu alizaliwa peke yake na maisha yataendelea kama kawaida!
AMANI IWE NANYI
binti anamuintroduce rafikiye kwa mchumba wake (ambaye tayari wanaahadi za kuoana na pete za uchumba washavishana)....
katika mazingira ya kustaajabisha sana huyo mwanaume anamuapproach rafiki wa mchumba wake na wanaanza mapenzi MARA MOJA (kama mchakato wa simbion kuinunua dowans).....!finally mwenye mali 'binti' anahisi kitu,anachoshindwa ni justifications!
kama kawaida ya penzi kuwa ''kikohozi'' (kwa wale ambao si wazoefu),siku ya birthday ya mwanaume yule ''rafiki'' wa binti anamletea zawadi mchumba wa shoga yake!..zawadi ya C-H-U-P-I aina ya BOXER na pakiti kadhaa za ''studded for maximum pleasure''....!THIS WAS A SHOCK OF DECADE!......!
ANGALIZO:ninyi wa kina dada ninyi jaribuni kuwa na roho za kibinadamu!unawezaje kutembea na b/f wa shoga yako?halaf kama haitoshi unataka kuhakikisha wanaachana ili wewe ukabe nafasi?....hujui kwamba na wewe utaondoka kwa staili hiyo hiyo?...NASEMA HIVI...RAFIKI WA NAMNA HIYO TUPA KULEEEEEE KWENYE DUSTBIN!
na wewe kidume unaejiona unawamdu saaana wanawake wewe.....!CRAAP YOU!unamvalisha mtu pete haalafu unatembea na rafiki yake!SHAME ON YOU!......kwani kuoa lazima?kwanini ujicommit kwenye mahusiano ya kudumu wakati bado una chembechembe za UJANA?MABOOIFRIEND WA NAMNA HII TUPA KULEEEEEEE!...holy crap!
NDO HIVO.....!TUPA KULEEE!ni mwendo wa kujivua gamba huu!kil mtu alizaliwa peke yake na maisha yataendelea kama kawaida!
AMANI IWE NANYI