Huyo Mbwa jana kachora uchi wa mwanamke kwanye soket ya umeme

fired

Senior Member
Apr 4, 2021
151
310
John Sanga alikuwa ni mwanafunzi Mchoraji, Siku mwoja alichora Noti ya shilingi elfu kumi kwenye sakafu, Mwalimu alipo ingia Darasani ghafla akajikwaa na kupasuka pua .... Wakati alipo kuwa anakimbilia ile hela kuiokota, akauliza wanafunzi nani aliye chora hapo chini? Wanafunzi wote wakamtaja John, mwalimu akaamua kumpigia simu Baba yake john(Mzee Sanga) Mzee Sanga akapokea akiwa hospitalini kalazwa, Mwalimu akamweleza makosa ya mwanae Mzee Sanga akamwambia Mwalimu afadhali yako wewe umepasuka pua hujalazwa, Huyo Mbwa jana kachora uchi wa mwanamke kwanye soket ya umeme
😂😂😂😂😂😂

UNAHISI MZEE SANGA KAUMIA WAPIII !!! TAFAKARI YA BABU !!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom