Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
Wadau,
Gazeti la leo la Tanzania Daima,8/1/2012,limemkariri Dr.Slaa akisema kwamba chama cha Magamba kilitaka kumuhonga mmoja ya wabunge wa CDM mkoa wa Mwanza milion 323/=Tsh ili akihame chama hicho,..bahati mbaya gazeti wamelifadhi jina la Mbunge huyo(nadhani kwa ajili ya kulinda maadili ya taaluma ya uandishi)..
Sasa kwa kuwa motto wetu ni ,''Where we dare to talk openly'',naomba atajwe kwa faida yake,chama,wanachama na nchi kwa ujumla..maana akitajwa anaweza kuja ulezea umma issue ilivyokuwa
Nawasilisha.
Gazeti la leo la Tanzania Daima,8/1/2012,limemkariri Dr.Slaa akisema kwamba chama cha Magamba kilitaka kumuhonga mmoja ya wabunge wa CDM mkoa wa Mwanza milion 323/=Tsh ili akihame chama hicho,..bahati mbaya gazeti wamelifadhi jina la Mbunge huyo(nadhani kwa ajili ya kulinda maadili ya taaluma ya uandishi)..
Sasa kwa kuwa motto wetu ni ,''Where we dare to talk openly'',naomba atajwe kwa faida yake,chama,wanachama na nchi kwa ujumla..maana akitajwa anaweza kuja ulezea umma issue ilivyokuwa
Nawasilisha.