mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,260
eti wakuu au tuwaache kwanza tusiwapigie makelele?
Haahaaa km mbwai na iwe mbwai au cioNi kifulia nina mwacha kabla ya yeye kuniacha mkuu, sitaki stress mara mbili.
duh sasa mnaendana kweli?Kuna huyu wangu yeye anadhani mm na ATM ni mtu na mdogo wake
Ndoa ni ndoano mkuuduh sasa mnaendana kweli?
Mfano wewe unayeogopa kuoa wakati ni diaspora billionaire unaishi Monaco.Wanaume wengi humu JF tuko unsecured sana.
Hahaha. Naogopa kugongewa kwasababu ya karma. 😅😅🤣🤣Mfano wewe unayeogopa kuoa wakati ni diaspora billionaire unaishi Monaco.
mkuki kwa nguruwe au sio🤣Hahaha. Naogopa kugongewa kwasababu ya karma. 😅😅🤣🤣
Oiiii..Ni kifulia nina mwacha kabla ya yeye kuniacha mkuu, sitaki stress mara mbili.
Hii nayo akili. Kabla ya kupigwa kibuyi mpige yeyeNi kifulia nina mwacha kabla ya yeye kuniacha mkuu, sitaki stress mara mbili.
Gongongewa nacho ni kitu cha kumind kweli? Wee mbususu tumewekewa hapa tuenjoy mwanawane kushare kitu simple tuu. Akisafisha mzeya na wee unaserebuka na hiyo mbususuHahaha. Naogopa kugongewa kwasababu ya karma. 😅😅🤣🤣
duuHii nayo akili. Kabla ya kupigwa kibuyi mpige yeye