Awali ya yote nampongeza Rais wa jamuhuri ya muungano kwa kuleta mabadiliko ya kweli tangu kwenye uchumi mpaka kwenye kijamii.
Pamoja na harakati zake za dhati kumkomboa mtanzania bado wapo watu wachache wenye akili mgando na kupenda kula mezani kwa mabwana zao wanatumika tangia bungeni mpaka uraiani kumkosoa kiongozi huyu mkubwa wakitaifa wakifikiri eti wananchi tutawaunga mkono jambo ambalo sii kweli.
Katika dunia iliyostaarabika sisi watanzania Mungu katupendelea huyu Rais hajawahi kutokea ukiacha hayati baba wa taifa na hata yeye angelikuwapo leo huenda angemsifia sana kiongozi huyu wa taifa ambaye amejivika koti la mateso na maonevu ya wananchi wake mpaka na hifadhi zetu huyu Rais amejivika upendo wa ajabu sana.
Wanachadema na vyama vya siasa hamjui ni kiasi gani huyu kiongozi wetu wa kitaifa anasaisdia wanyonge wa taifa hili na sasa hali ya wanyonge kupata haki ni kubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule wa historia ya taifa hili.
Ni rais mkali na ni kiongozi wa kitaifa kweli anasimamia sheria kwa mkono wa chuma na huyu ndiye tulikuwa tunamtaka. Tuseme kweli tabasamu la Mh Kikwete limeleta madhara makubwa ndani ya serikali jambo limezua sintofahamu kwa kila anayejuwa ukweli. Watu walifanya ofisi za serikali ni ofisi zao za kuchuma matumboni lakini leo ukweli upo wazi safisha safisha haijamuacha mtu salama.
Rais huyu mtumbua majipu ameamua kujikita kwenye kufanya kazi na idara nyeti za usalama ameapa kuwatokomeza mafisadi papa na kurejesha sent zetu nyumbani.. Huyu ndio Mh Dr Magufuli.
Watu walizoea kuibia serikali na kufanya mambo ya ajabu chini ya miaka miwili kila mtu anasali kwa Mungu wake amsamehe nakuomba radhi mbele ya watanzania..
Huyu ndio Mh Dr Magufuli.
Wanaomuombea dua mbaya rais wetu mnapoteza muda maana amezungukwa na Mungu aliye hai. Hata wanyama porini tembo na faru wanajuwa taifa lina baba anayewapenda hata ardhi inatamka mema kwa kiongozi huyu na mbingu imeachia mvua ambayo haikuwahi kutokea kwa kipindi kirefu.. Huyu ndio Mh Dr Magufuli.
Pamoja na harakati zake za dhati kumkomboa mtanzania bado wapo watu wachache wenye akili mgando na kupenda kula mezani kwa mabwana zao wanatumika tangia bungeni mpaka uraiani kumkosoa kiongozi huyu mkubwa wakitaifa wakifikiri eti wananchi tutawaunga mkono jambo ambalo sii kweli.
Katika dunia iliyostaarabika sisi watanzania Mungu katupendelea huyu Rais hajawahi kutokea ukiacha hayati baba wa taifa na hata yeye angelikuwapo leo huenda angemsifia sana kiongozi huyu wa taifa ambaye amejivika koti la mateso na maonevu ya wananchi wake mpaka na hifadhi zetu huyu Rais amejivika upendo wa ajabu sana.
Wanachadema na vyama vya siasa hamjui ni kiasi gani huyu kiongozi wetu wa kitaifa anasaisdia wanyonge wa taifa hili na sasa hali ya wanyonge kupata haki ni kubwa sana kuliko wakati mwingine wowote ule wa historia ya taifa hili.
Ni rais mkali na ni kiongozi wa kitaifa kweli anasimamia sheria kwa mkono wa chuma na huyu ndiye tulikuwa tunamtaka. Tuseme kweli tabasamu la Mh Kikwete limeleta madhara makubwa ndani ya serikali jambo limezua sintofahamu kwa kila anayejuwa ukweli. Watu walifanya ofisi za serikali ni ofisi zao za kuchuma matumboni lakini leo ukweli upo wazi safisha safisha haijamuacha mtu salama.
Rais huyu mtumbua majipu ameamua kujikita kwenye kufanya kazi na idara nyeti za usalama ameapa kuwatokomeza mafisadi papa na kurejesha sent zetu nyumbani.. Huyu ndio Mh Dr Magufuli.
Watu walizoea kuibia serikali na kufanya mambo ya ajabu chini ya miaka miwili kila mtu anasali kwa Mungu wake amsamehe nakuomba radhi mbele ya watanzania..
Huyu ndio Mh Dr Magufuli.
Wanaomuombea dua mbaya rais wetu mnapoteza muda maana amezungukwa na Mungu aliye hai. Hata wanyama porini tembo na faru wanajuwa taifa lina baba anayewapenda hata ardhi inatamka mema kwa kiongozi huyu na mbingu imeachia mvua ambayo haikuwahi kutokea kwa kipindi kirefu.. Huyu ndio Mh Dr Magufuli.