Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umeonesha dhahiri upeo wako. Huelewi tofauti ya jina na neno.
Pata darsa dogo...
Usta = influence
ARAB = Arabic
Ustaarab = Arabic influence.
Ingekuwa maneno hayama maana usingekuwa na kamusi za kutafsiri maneno. Kumbuka hilo.
Kwa ufupi, usiwe na chuki tu na kitu kwa kuwa aidha umejazwa ujinga au hukielewi.
Uarabu si taifa au kabila au rangi au dini. Kwa hiyo usiogope kuufahamu na usiogope kuwa nao ustaarabu.
Leo hata Kiswahili unachoongea kina "Arabic influence" (ustaarabu). Utaukwepa vipi? Kwa maneno tu bila yakini?
Kiswahili unachoandika kina ustaarabu. Unaelewa hilo au nalo gumu kulielewa?
Unajuwa maana ya neno "wastaarab" uliloliandika?
Ustaarabu kwa maana pana ni kuwa na hali ya juu ya kitamaduni, kimaendeleo katika jamii na kiteknolojia. Sasa tujiulize, je waarabu wako hivyo.Unajuwa maana ya neno "wastaarab" uliloliandika?
Wasta = influenceUstaarabu kwa maana pana ni kuwa na hali ya juu ya kitamaduni, kimaendeleo katika jamii na kiteknolojia. Sasa tujiulize, je waarabu wako hivyo.
Kuna mifano mingi ya vitendo vyao vya kigaidi ambavyo vimekuwa vikishtua ulimwengu wa kistaarabu. Kama kuchinja mtu peupe mbele za jamii, kuuwa watu ambao wasio na hatia n.k.
Hiyo bi "media" imekujaza ujinga.Nafikiri tukifanya utafiti wakutosha tutagundua kwamba waarabu wana historia ya mauwaji na mengi machafu bila kuyataja. Kule Asian continent, Africa mashiriki, middle East na ulaya walifanya mabaya mengi sana. Mtume Muhammad hana sifa nzuri kwa wasio waislamu maana alisababisha siyo ustaarabu bali USTA-UARABU (Genocide na Raping) katika jamii nyingi. Zanzibar yote ina mixed race kutokana na raping of Tanganyikans.
Hiyo bi "media" imekujaza ujinga.
Kaja mtu nchini kwako akapiga mabomu akauwa watoto, wanawake, wazee, vijana kwa mamilioni, akakuharibia miundo mbinu yako kisha akaanza kuchota rasilimali zako kwa sababu za uongo tu halafu wewe ndiyo unaitwa gaidi!
Nani gaidi wa kweli hapo? Fikiri.
Chuki kubwa ni Uislam si Waarabu. Waislam Waarabu ndiyo pekee waliosimama kidete na kuyetea kila mnyonge duniani.
Wazungu walupoanza kuja Afrika ni Waislam waliosimama kidete kuwapinga, wazungu wakasema hawa wana ustaarabu "Arabic influence", ndiyo chuki ilipoanzia hapo.
Soma hata historia ya hapa kwetu utaliona hilo.
Waarabu si wageni au wakuja Afrika, ni kwao.
Hata wewe una Uarabu ndani yako lakini hujielewi tu.
Uarabu si rangi, si kabila, si dini? Si taifa. Uarabu ni tamaduni hususan ya lugha, licha ya mengine mengi. Tanzania, hata lugha yetu tu ya Kiswahili ina tamaduni hiyo Na haikuanza leo wala jana na hakuna historia inapotuambia ilipoanzia kiusahihi.
Ukianza kusoma bila kuwa "biased" kwa ujinga uliojazwa (brain washed) utaona ni jinsi gani ambayo huuepuki Uarabu.
Wasta = influence
Arab = Arab
Hakuna katika nyanja zote za elimu uzijuazo ambazo hazina ustaarabu.
Leo upo kwenye mtandao kwa ajili ya uvumbuzi wa "algorithms".
Unafahamu imetoka wapi hiyo? Jisomee...
.Algorithm - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Wasta = influence
Arab = Arab
Hakuna katika nyanja zote za elimu uzijuazo ambazo hazina ustaarabu.
Leo upo kwenye mtandao kwa ajili ya uvumbuzi wa "algorithms".
Unafahamu imetoka wapi hiyo? Jisomee...
.Algorithm - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Usikisie, pata darsa dogo.Huyo Al kwarizma (algorithm) hakuwa mwarabu, alikuwa Persian, aliwahi kuishi kabla mtume wenu Muhammad. Na hakuwa muislamu maana alikuwa pagan.
Mwarabu ni Msaudia siyo Muirani.
Utumwa ulikuwepo toka enzi na enzi na haukuwa dhambi wala haramu. Soma biblia utauona utumwa upo. Au unataka mistari?Waarabu waislamu ndiyo walioanzisha utumwa kwetu East Africa. Wacha kupotosha ukweli hata kama unawapenda waarabu. Mimi sina uarabu, labda wewe mwarabu mweusi wa bongo. Waarabu weusi nao wajua wako Yemen.
Ambatanisho la konsonanti ya kiyeyusho (kama 'w' na 'y' kwenye irabu za mwisho ni athari ya Lugha ya Kiarabu kwenye Kiswahili na huonekana sana kwenye usemaji wa Unguja, Mombasa na maeneo mengi ambayo wakaaji wake ni mchanganyiko na bani Arabia.
Mfano: 'mwenziye' badala ya mwenzie,
Unajuwa maana ya neno "wastaarab" uliloliandika?
Kumbe hata hujuwi maana ya wastaarabu.
Wasta = influence
Arab = Arab