Huwezi na Hutoweza Kuongea / Kuandika Kiswahili fasaha

maana ya ustaarabu ni civilization basi

Maana ya halisi ya ustaarabu si "civilization", "civilization" ni neno la karibu walilofikiria kuwa linafanana Kingereza kwa sababu tu wakiweka maana halisi itakuwa ni kinyume na "supremacy" yao hao wanaojifanya wao ni "supreme".

Ustaarabu ni maneno mawili ya Kiarabu 100%, nayo ni "wasta" na "Arab".

Nadhani unajuwa maana ya wasta kwani Kiswahili pia linatumika. Kama haujuwi, maana ya "wasta" ndiyo hiyo "usta" ni "influence", na maana ya Arab vile vile nikufundishe?

Baada ya kuyajuwa hayo nnauhakika sasa unajuwa maana kamili ya "ustaarabu? na si "civilization" kama ulivyoaminisha na kujazwa ujinga siku zote.

Maana yake simply ni "Arab/ic influence".
 
kwa suala la cannibalism ukiamua kuwajudge wazungu huo ni utashi wako...mimi nina ushahidi wa watu wanaoitwa mabedui.."Bedouins" ambao asili yao walikuwa wanapractice cannibalism

Hilo la "cannibalism" mpaka leo hii wanali "practice" Wakristo wa Kanisa Katoliki na wala halina haja ya kuutafuta ushahidi, ni nani asiyejuwa kuwa huwa wanalishwa mwili na damu ya Yesu katika Kanisa Katoliki? Fikiri.
 
tatizo unawaza kwa mapungufu. ikiwa akili yako ingekuwa kama mikono yako yenye kuweza kutanuka ukiinyoosha ingelikuwa afadhali.huwa huna hoja zaidi ya kujichekesha? nimekuambia kulikuwa na mstaarabu na mshenzi kabla ya mjerumani. kama fuvu lako la kichwa haliubani ubongo wako kubaliana nami kuwa wastaarabu walikuwa na wapinzani wao(wasio wastaarabu) waliitwaje? kuna nyeupe na nyeusi, jinga na janja,staarabu na?? nimekwambia mzee halimoja kanipa uongo niliousema unaishia kucheka

tangu ulimwengu ulipoumbwa walitokea binadamu wastaarabu na wasio wastaarabu...huyu akiamua kukataa we muache tu lakini siku zote ukweli husimama!!!

nashindwa kuelewa maana wakati mwingine maandishi yake yanaonyesha neno "ushenzi" limetokana na mjerumani...mara anasema tafuta neno la kiarabu "shazia" lililozaa neno "ushenzi" hapo lipi ni lipi?
 
Hilo la "cannibalism" mpaka leo hii wanali "practice" Wakristo wa Kanisa Katoliki na wala halina haja ya kuutafuta ushahidi, ni nani asiyejuwa kuwa huwa wanalishwa mwili na damu ya Yesu katika Kanisa Katoliki? Fikiri.

unajua kinachowaponza nyie mohammedans ni nini? huwa mnadandia train kwa mbele na mnadhani mnajua kuliko wenye imani zao..na tatizo ni kuwa kiongozi wenu alikuwa na hana elimu wala ufahamu kiasi kwamba alikuwa mtu wa kuchukulia vitu at face value..na hakuwa na hata na chembe ya ubongo wa kufikiria!!

ok, kwa dakika moja acha nifikirie katika mkondo wenu mohammedans...kama kanisa katoliki wanakula mwili wa Yesu kila siku na kwa wingi jumapili...dunia nzima...huo mwili ni mkubwa kiasi gani??? unahifadhiwa wapi for next mass service???
 
Maana ya halisi ya ustaarabu si "civilization", "civilization" ni neno la karibu walilofikiria kuwa linafanana Kingereza kwa sababu tu wakiweka maana halisi itakuwa ni kinyume na "supremacy" yao hao wanaojifanya wao ni "supreme".

Ustaarabu ni maneno mawili ya Kiarabu 100%, nayo ni "wasta" na "Arab".

Nadhani unajuwa maana ya wasta kwani Kiswahili pia linatumika. Kama haujuwi, maana ya "wasta" ndiyo hiyo "usta" ni "influence", na maana ya Arab vile vile nikufundishe?

Baada ya kuyajuwa hayo nnauhakika sasa unajuwa maana kamili ya "ustaarabu? na si "civilization" kama ulivyoaminisha na kujazwa ujinga siku zote.

Maana yake simply ni "Arab/ic influence".

ingekuwa kweli basi maana ya neno ustaarabu ingebeba tu tabia ya chuki na uchokozi, kufuga ndevu na kukusanya wanawake..that is pure arabic influence
 
unajua kinachowaponza nyie mohammedans ni nini? huwa mnadandia train kwa mbele na mnadhani mnajua kuliko wenye imani zao..na tatizo ni kuwa kiongozi wenu alikuwa na hana elimu wala ufahamu kiasi kwamba alikuwa mtu wa kuchukulia vitu at face value..na hakuwa na hata na chembe ya ubongo wa kufikiria!!

ok, kwa dakika moja acha nifikirie katika mkondo wenu mohammedans...kama kanisa katoliki wanakula mwili wa Yesu kila siku na kwa wingi jumapili...dunia nzima...huo mwili ni mkubwa kiasi gani??? unahifadhiwa wapi for next mass service???

Kapate jibu lako kwa wenzako hapa: Christian Cannibals
 
ingekuwa kweli basi maana ya neno ustaarabu ingebeba tu tabia ya chuki na uchokozi, kufuga ndevu na kukusanya wanawake..that is pure arabic influence

Hivyo ndiyo unavyoamni lakini ukweli sivyo ulivyo, unaaminishwa ujinga na wewe unaukubali.

Ukiona mtu kavaa baraghashia basi huo ni "ustaarabu" na si "civilization", kwa sabau hata "neno" baraghashia linatokana na Seyuid Barghash aliyekuwa Sultan wa Zanzibar, Mwarabu wa Zanzibar.

Ukisikia neno "Swahili" basi huo ni "ustaarabu" kwa kuwa neno hilo linatokana na Kiarabu na si "civilization" kama ulivyoaminishwa na wewe ukakubali bila kufikiri.

Ina maana wewe kama Mbantu haukuwa na "civilization" yako hata "ustaarabu" uwe ni "civilization" yako? Fikiri kabla hujakurupuka kujibu.
 
Kapate jibu lako kwa wenzako hapa: Christian Cannibals

Kasome Satanic Verses cha Salmon Rushdie na kasome "For God or For Tyranny"
Kasome alichokifanya Malik bin Sinan katika mwili wa Muhammad during the Battle of Uhud
Kasome the "Book of the Subduing of the Nobility"
Kasome mafunzo ya Al Azhar University-Egypt kuhusu kula miili ya non-Moslems
Kasome makala za Walid Shoebat!!!!
 
Hivyo ndiyo unavyoamni lakini ukweli sivyo ulivyo, unaaminishwa ujinga na wewe unaukubali.

Ukiona mtu kavaa baraghashia basi huo ni "ustaarabu" na si "civilization", kwa sabau hata "neno" baraghashia linatokana na Seyuid Barghash aliyekuwa Sultan wa Zanzibar, Mwarabu wa Zanzibar.

Ukisikia neno "Swahili" basi huo ni "ustaarabu" kwa kuwa neno hilo linatokana na Kiarabu na si "civilization" kama ulivyoaminishwa na wewe ukakubali bila kufikiri.

Ina maana wewe kama Mbantu haukuwa na "civilization" yako hata "ustaarabu" uwe ni "civilization" yako? Fikiri kabla hujakurupuka kujibu.

kwangu mimi kama nakula , nikila kwa staha na kutoonyesha chakula kinavyozungushwa mdomoni ni ustaarabu..haya niulize. kabla waarabu hawajaja watu walikuwa hawali?

compare this na jinsi waarabu wanavyokula na kujifuta mikono kwenye makanzu yao na tabia ya jumla ya uchafu waliyokuwa nayo, utapata jibu kuwa kula kistaarabu na hygienic issue sio arabic influence na hapo utanielewa ninaposema ustaarabu ni civilization
 
Hivyo ndiyo unavyoamni lakini ukweli sivyo ulivyo, unaaminishwa ujinga na wewe unaukubali.

Ukiona mtu kavaa baraghashia basi huo ni "ustaarabu" na si "civilization", kwa sabau hata "neno" baraghashia linatokana na Seyuid Barghash aliyekuwa Sultan wa Zanzibar, Mwarabu wa Zanzibar.

Ukisikia neno "Swahili" basi huo ni "ustaarabu" kwa kuwa neno hilo linatokana na Kiarabu na si "civilization" kama ulivyoaminishwa na wewe ukakubali bila kufikiri.

Ina maana wewe kama Mbantu haukuwa na "civilization" yako hata "ustaarabu" uwe ni "civilization" yako? Fikiri kabla hujakurupuka kujibu.

hebu wewe unayefikiri kabla ya kujibu fikiria msimamo wangu kuwa maana ya ustaarabu ni civilization then usome swali lako na uniambie nani anakurupuka..au labda kuna mtu kapost comment kuwa kuanza kutumika kwa neno ndo mwanzo wa maana ya neno?

Lemme try to explain like I do to my 5-year old daughter...ustaarabu ni kitu endelevu na unapitia katika stage mbalimbali. Kinachochangia watu kustaarabika ni pamoja na kufunguka kimawazo na kuiga mambo na mienendo mizuri kutoka kwa watu wengine wasio wa makabila yao..kingine ni kutambua kuwa imani yao kuhusu vitu flani na flani ambavyo vinahitaji kufanya mambo yasiyo ya kistaarabu, imani hiyo sio yakini.

kwa hiyo mimi kama mbantu nilikuwa na ustaarabu wangu na naendelea kuwa nao regardless ya matumizi ya neno "ustaarabu"

Likewise mchina wa kule Yang Tse Kiang ambaye haju na hajawahi kusikia neno ustaarabu naye kastaarabika in his own way
 
Kiswahili ni lugha ambayo imetokana na Kiarabu na Kibantu na maneno mengine machache yaliongezeka kidogo kidogo kutoka lugha zingine za Afrika, Uropa na Asia.

Kabla ya kuja wakoloni wa ki Uropa maandishi yote ya Kiswahili yalikuwa kwa herufi za Kiarabu na matamshi yalikuwa kwa lafdhi ya Kiarabu.

Nnadiriki kusema leo hii, ili uongee na kuandika Kiswahili fasaha inabidi ujuwe Kiarabu. Bila hivyo utaboronga tu.

Na kama huna ustaarabu basi Kiswahili chako hakitakuwa fasaha.

Jee, unajuwa maana ya "ustaarabu"?



I regret Kiswahili kuhusishwa na kiarab, there's nothing good kuhushwa na waarab.
 
I regret Kiswahili kuhusishwa na kiarab, there's nothing good kuhushwa na waarab.

Nadhani una matatizo ya kufundishwa ujinga.

Waarabu wamekukosa nini na unao Tanzania, kabla ya Tanzania, Tanganyika na kabla ya Tanganyika.

Hauna mjomba, shangazi, shemeji au hata rafiki wa Kiarabu Tanzania hii au popote duniani?
 
huyu mama/dada kwanza nilichogundua sio mtu wakupenda kuelimika na wala hana uwezo wa kujibu hoja. mijadala yake ni ya chini mno. nachukia jf yenye watu wanaotukana dini za wenzao.. ni yakwangu acha nikachomwe kwenye moto iwapo ni mbaya Unaponitusi na kunidharau haileti maana. ikiwa mungu wako ni mjaa dhihaka na matusi sawa lakini sidhani kama yupo.


FaizaFoxy ikiwa unapenda kuongelea jambo tazama juu na chini yake.umekazana mno kuhusu ustaarabu ukawa unautofautisha na civilization. ni kweli kwenye translation sometimes Baadhi ya maneno hukosa neno lenye maana sawa na lingine kwenye target language. mfano neno ugali kwenye post ya kwanza kabisa mimi kuchangia nilikutajia neno hili as neno la kiswahili lililochukuliwa as lilivyo na kuwa kiingereza. ni kwasababu hakuna neno linalorelate na ugali.. mwanzo uliitwa stiff porridge lakini ikaonekana si sawa. hii ni kwa sheria. jaribu kuangalia neno journey, traveling, safari nk.. kwa mzungu yako tofauti ila kwetu tuna moja tu safari.. safiri tu..... kwa dhana hii huwezi ipinga maana iliyotolewa juu ya ustaarabu.


historically ukiongelea civilization(ustaarabu) unaanza kuigusa Egypt na Mesopotamia. ukaspread to Europe na America. unaweza ona ustaarabu umeanzia Africa pia tofauti na maneno ya mzungu. sijui sisi kabla ya contact na Arabs tulikuwa madubu ambao hatujui kitu ata useme ustaarabu ni Arabic influence hata sasa....

asili ya neno yaweza moja ila neno likatumika kwa maana tofauti kwa siku zinazofuata. mfano neno fulia.. huu ni msimu ambao hauna maana kama iliyotumika 1900 neno ustaarabu/kufuata uarabu lilitumiwa katika zama. ni wazi zama zake zimeisha lakin hatuwezi kufuta kovu la historia. zama za ustaarabu ni kipindi waarabu wanataka watu woote wawe kama wao. na bado hawakuwa waarabu bali ni wafuata uarabu.. mfaransa pia aliassimilate assimilados.neno ustaarabu limebaki kwenye kamusi zetu kama lilivyobaki neno shwaini...neno mstaarabu linahusu mtu anayenda mambo yaliyo na siha njema, muungwana hatumaanishi mvaa nikabu ama mla tende tena...

mwisho naomba nikuulize je ni waarabu peke yao ndiyo wastaarabu?
 
Last edited by a moderator:
Nadhani una matatizo ya kufundishwa ujinga.

Waarabu wamekukosa nini na unao Tanzania, kabla ya Tanzania, Tanganyika na kabla ya Tanganyika.

Hauna mjomba, shangazi, shemeji au hata rafiki wa Kiarabu Tanzania hii au popote duniani?


I repeat, I regret kuhusishwa na waarab, bora Kiswahili kingepitiwa tena na kurudishwa maneno ya kibantu.
 
huyu mama/dada kwanza nilichogundua sio mtu wakupenda kuelimika na wala hana uwezo wa kujibu hoja. mijadala yake ni ya chini mno. nachukia jf yenye watu wanaotukana dini za wenzao.. ni yakwangu acha nikachomwe kwenye moto iwapo ni mbaya Unaponitusi na kunidharau haileti maana. ikiwa mungu wako ni mjaa dhihaka na matusi sawa lakini sidhani kama yupo.


FaizaFoxy ikiwa unapenda kuongelea jambo tazama juu na chini yake.umekazana mno kuhusu ustaarabu ukawa unautofautisha na civilization. ni kweli kwenye translation sometimes Baadhi ya maneno hukosa neno lenye maana sawa na lingine kwenye target language. mfano neno ugali kwenye post ya kwanza kabisa mimi kuchangia nilikutajia neno hili as neno la kiswahili lililochukuliwa as lilivyo na kuwa kiingereza. ni kwasababu hakuna neno linalorelate na ugali.. mwanzo uliitwa stiff porridge lakini ikaonekana si sawa. hii ni kwa sheria. jaribu kuangalia neno journey, traveling, safari nk.. kwa mzungu yako tofauti ila kwetu tuna moja tu safari.. safiri tu..... kwa dhana hii huwezi ipinga maana iliyotolewa juu ya ustaarabu.


historically ukiongelea civilization(ustaarabu) unaanza kuigusa Egypt na Mesopotamia. ukaspread to Europe na America. unaweza ona ustaarabu umeanzia Africa pia tofauti na maneno ya mzungu. sijui sisi kabla ya contact na Arabs tulikuwa madubu ambao hatujui kitu ata useme ustaarabu ni Arabic influence hata sasa....

asili ya neno yaweza moja ila neno likatumika kwa maana tofauti kwa siku zinazofuata. mfano neno fulia.. huu ni msimu ambao hauna maana kama iliyotumika 1900 neno ustaarabu/kufuata uarabu lilitumiwa katika zama. ni wazi zama zake zimeisha lakin hatuwezi kufuta kovu la historia. zama za ustaarabu ni kipindi waarabu wanataka watu woote wawe kama wao. na bado hawakuwa waarabu bali ni wafuata uarabu.. mfaransa pia aliassimilate assimilados.neno ustaarabu limebaki kwenye kamusi zetu kama lilivyobaki neno shwaini...neno mstaarabu linahusu mtu anayenda mambo yaliyo na siha njema, muungwana hatumaanishi mvaa nikabu ama mla tende tena...

mwisho naomba nikuulize je ni waarabu peke yao ndiyo wastaarabu?


Mkuu unajisumbua bure, haka kademu ka FaizaFoxy anapenda sana uarab, yaani anapenda sana kujifananisha na waarab na pia she's always out of topic. She never makes any sense ila yeye anajihisi anaeleweka. Just tease her and leave her alone. Hapa umemuandikia ili ajifunze usishangae akaja hapa akitokwa na povu kaba ya kukujibu na kukutishia kukulipua mabomu. Subiri tu.
 
Last edited by a moderator:
huyu mama/dada kwanza nilichogundua sio mtu wakupenda kuelimika na wala hana uwezo wa kujibu hoja. mijadala yake ni ya chini mno. nachukia jf yenye watu wanaotukana dini za wenzao.. ni yakwangu acha nikachomwe kwenye moto iwapo ni mbaya Unaponitusi na kunidharau haileti maana. ikiwa mungu wako ni mjaa dhihaka na matusi sawa lakini sidhani kama yupo.


FaizaFoxy ikiwa unapenda kuongelea jambo tazama juu na chini yake.umekazana mno kuhusu ustaarabu ukawa unautofautisha na civilization. ni kweli kwenye translation sometimes Baadhi ya maneno hukosa neno lenye maana sawa na lingine kwenye target language. mfano neno ugali kwenye post ya kwanza kabisa mimi kuchangia nilikutajia neno hili as neno la kiswahili lililochukuliwa as lilivyo na kuwa kiingereza. ni kwasababu hakuna neno linalorelate na ugali.. mwanzo uliitwa stiff porridge lakini ikaonekana si sawa. hii ni kwa sheria. jaribu kuangalia neno journey, traveling, safari nk.. kwa mzungu yako tofauti ila kwetu tuna moja tu safari.. safiri tu..... kwa dhana hii huwezi ipinga maana iliyotolewa juu ya ustaarabu.


historically ukiongelea civilization(ustaarabu) unaanza kuigusa Egypt na Mesopotamia. ukaspread to Europe na America. unaweza ona ustaarabu umeanzia Africa pia tofauti na maneno ya mzungu. sijui sisi kabla ya contact na Arabs tulikuwa madubu ambao hatujui kitu ata useme ustaarabu ni Arabic influence hata sasa....

asili ya neno yaweza moja ila neno likatumika kwa maana tofauti kwa siku zinazofuata. mfano neno fulia.. huu ni msimu ambao hauna maana kama iliyotumika 1900 neno ustaarabu/kufuata uarabu lilitumiwa katika zama. ni wazi zama zake zimeisha lakin hatuwezi kufuta kovu la historia. zama za ustaarabu ni kipindi waarabu wanataka watu woote wawe kama wao. na bado hawakuwa waarabu bali ni wafuata uarabu.. mfaransa pia aliassimilate assimilados.neno ustaarabu limebaki kwenye kamusi zetu kama lilivyobaki neno shwaini...neno mstaarabu linahusu mtu anayenda mambo yaliyo na siha njema, muungwana hatumaanishi mvaa nikabu ama mla tende tena...

mwisho naomba nikuulize je ni waarabu peke yao ndiyo wastaarabu?

Umeandika mengi lakini bado umeshindwa kuelewaa maana ya "influence".

Nimeona kuwa tatizo kubwa si muono wako tu bali hata uelewa. Unachosoma hukielewi. Pole sana, labda hii mada kwako ipo above your thinking and understanding capacity. Kwa kuwa bado huelewi maana ya ustaarabu ni nini na "civilization" ni nini.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom