Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 50
- 532
Baba yangu ni mkulima wa alizeti toka miaka ya 1980 kipindi ambacho hakukuwa na barabara za lami kabisa. Toka miaka hiyo kipindi hamna lami mpaka sasa pana lami maisha yake hayana tofauti sana katika kuuza mazao yake.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.
Hakuna mwaka hajawahi kukosa kuuza mazao yake kisa ubovu wa barabara. Wala hamna mwaka mazal yake yamepanda bei eti kisa kuna barabara ya lami.
Kifupi haya mambo ya mindombinu yanawapa ahueni wafanyabiashara tuu. Sisi wakulima wala hayana mantiki sana sababu hayana effects kwetu.
Sasa anapokuja mgombea anatuambia eti tumchague ili atuletee lami hatumuelewi kabisa. Mambo ya lami na mandege akayaongelee mjini huko lakini sio huku vijijini ambako tumevuna mazao yetu tumeweka stoo, hatuna njaa.
Ninachomkubali Lissu anajua kufanya situation analysis kabla hajazungumza kwenye kampeni zake. Yani akianza kuelezea Uhuru,Haki &Maendeleo basi anaelezea kwa kureletisha na maisha yenu halisi ya eneo lenu mnaloishi.
Sasa wewe unaomba kura Geita ndanindani kwa kuwaahidi kununua ndege zaidi kweli? Ndege zitawasaidia nini wao? Thats not their immediate nor long term need.
Wagombea muwe mnaielewa hadhira mnayozungumza nayo kabla hamjaanza kuongea, mnatia huruma sana.