Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,355
- 11,500
Mdude Chadema. Ni kijana ambaye ana ujasiri ambao kama ungetumika vizuri na akapata elimu nzuri akaelimika, akapata mshauri mzuri na akawa tayari kushauriwa angekuwa mtu mzuri sana mwenye uthubutu.
Alikosa malezi mazuri ukubwani au utotoni. Si kosa kukosoa, ila si aina ya ukosoaji wa matusi na dhihaka anaofanya Mdude. Chukulia tu anayekosolewa ni baba yako. Kwa aina ile ya ukosoaji, ni wazi kuwa alijipalia makaa kichwani mwake.
Sikubaliani na watu kutekwa au kuteswa. Naamini katika kufuata sheria hivyo wahusika wanaokosea wahukumiwe kwa mujibu wa sheria, si vinginevyo. Lakini pia wakosoaji ni lazima wajue katika kukosoa hupaswi kutweza utu watu, kumtusi, kumkashifu au kumwaibisha. Kosoa kwa nidhamu.
Wacheni Mdude Nyagali Chadema afikishwe katika vyombo vya sheria, sheria ikaamue hatma yake.
Bwana mdogo mwingine kwa ulimbukeni naye alirudia kosa ambalo linafanana na ambalo aliwahi kuonywa. Niseme tu wazi Idrisa mimi binafsi hajawahi kunichekesha na pengine hili ni tatizo langu si lake, maana kuna wengine anawachekesha.
Kitendo cha kuweka picha ya Mh. Rais pembeni ya video yake akicheka haikuwa sahihi. Kwa mtu mwenye akili timamu alipaswa atabiri matokeo yake maana huyu si mgeni nchi hii. Lakini alishindwa tabiri nini kingetokea na kuamua kuachana na hilo.
Kama Mh. Rais angekuwa baba yangu, mimi binafsi ninge-deal na Idris. Niseme tu kwa uwazi. Hii mitandao isitumike vibaya kuwa bully wengine sababu hawawezi fanya kama sisi.
That was cyber bullying. Mh. Rais angeweza naye kujibishana na Idris? No. Je, angekuwa mzazi wako wewe ungefanyaje?
Kwanini tusikosoe hoja na sera? Tusikosoe mawazo na matendo? Tunapokosoa personality kwa kudhalilisha tunakosea.
Hawa vijana wamejitakia hayo. Ndio maana hakuna anayehangaika nao sana sababu wamefanya mambo ya kipumbavu. Sisi watu wa Bara huwa hatuna utani wa kupitiliza, na wengi wanafahamu hilo wenye uelewa. Mambo mengine nyie wa pwani fanyianeni wenyewe kwa wenyewe. Achaneni na wabara.
Mtu wa pwani mwanaume anaweza shikwa makalio akacheka na kuambiwa mse**e wewe, au fala. Usifanye kosa hilo kwa Mjita, Msukuma, Mkurya, Mnyakyusa, Mhehe n.k hali yako itakuwa mbaya sana kiafya.
Tujifunze kukosoa kwa adabu, kwa kuheshimiana. Ukweli ni kwamba hata kama hupendi, Dr Magufuli ndiye Rais wa Tanzania. Hiyo will not change mpaka when changes happen.
Alikosa malezi mazuri ukubwani au utotoni. Si kosa kukosoa, ila si aina ya ukosoaji wa matusi na dhihaka anaofanya Mdude. Chukulia tu anayekosolewa ni baba yako. Kwa aina ile ya ukosoaji, ni wazi kuwa alijipalia makaa kichwani mwake.
Sikubaliani na watu kutekwa au kuteswa. Naamini katika kufuata sheria hivyo wahusika wanaokosea wahukumiwe kwa mujibu wa sheria, si vinginevyo. Lakini pia wakosoaji ni lazima wajue katika kukosoa hupaswi kutweza utu watu, kumtusi, kumkashifu au kumwaibisha. Kosoa kwa nidhamu.
Wacheni Mdude Nyagali Chadema afikishwe katika vyombo vya sheria, sheria ikaamue hatma yake.
Bwana mdogo mwingine kwa ulimbukeni naye alirudia kosa ambalo linafanana na ambalo aliwahi kuonywa. Niseme tu wazi Idrisa mimi binafsi hajawahi kunichekesha na pengine hili ni tatizo langu si lake, maana kuna wengine anawachekesha.
Kitendo cha kuweka picha ya Mh. Rais pembeni ya video yake akicheka haikuwa sahihi. Kwa mtu mwenye akili timamu alipaswa atabiri matokeo yake maana huyu si mgeni nchi hii. Lakini alishindwa tabiri nini kingetokea na kuamua kuachana na hilo.
Kama Mh. Rais angekuwa baba yangu, mimi binafsi ninge-deal na Idris. Niseme tu kwa uwazi. Hii mitandao isitumike vibaya kuwa bully wengine sababu hawawezi fanya kama sisi.
That was cyber bullying. Mh. Rais angeweza naye kujibishana na Idris? No. Je, angekuwa mzazi wako wewe ungefanyaje?
Kwanini tusikosoe hoja na sera? Tusikosoe mawazo na matendo? Tunapokosoa personality kwa kudhalilisha tunakosea.
Hawa vijana wamejitakia hayo. Ndio maana hakuna anayehangaika nao sana sababu wamefanya mambo ya kipumbavu. Sisi watu wa Bara huwa hatuna utani wa kupitiliza, na wengi wanafahamu hilo wenye uelewa. Mambo mengine nyie wa pwani fanyianeni wenyewe kwa wenyewe. Achaneni na wabara.
Mtu wa pwani mwanaume anaweza shikwa makalio akacheka na kuambiwa mse**e wewe, au fala. Usifanye kosa hilo kwa Mjita, Msukuma, Mkurya, Mnyakyusa, Mhehe n.k hali yako itakuwa mbaya sana kiafya.
Tujifunze kukosoa kwa adabu, kwa kuheshimiana. Ukweli ni kwamba hata kama hupendi, Dr Magufuli ndiye Rais wa Tanzania. Hiyo will not change mpaka when changes happen.