Mkuu;
Pamoja ni kweli kabisa ccm-regime si kwamba wanatakiwa kuondoka lakini kinachotakiwa ni kusambaratisha viongozi waliowahi kuongoza wasibadili vyama. Angalia Kenya mafisadi wa KANU leo ndo wanaongoza bado na ufisadi wa kasi zaidi unaendelea kwa mgongo wa PNU, sijui ODM.
Napingana na mawazo yako, mie nafikiri utakuwa na mawazo ya kidikteta kusema wanaojiunga ccm ni wehu, waache binadamu waamuwe watakayo hiyo ndo demokrasia. Si binadamu wote wanapenda maisha mazuri wengine wanafurahi zaidi wakiwa masikini, kuna wengine wanafurahi zaidi wakiwa kwenye vurumai kama somalia, kuna wengine wanafurahi wakiwa ktk amani, kuna wengine wanafurahi zaidi wakiwa malaya na kunawengine wanafurahi wakiwa watulivu nk.
Ninasochotaka kusema ni kuwa kujaribu ku-impose mawazo yako unayodhani ni mazuri kwa mtu unayedhani mawazo yake ni potofu ndo chazo cha udikteta, madkiteta huanza hivyo kwa kujaribu kui-impose mawazo yao mazuri juu yawengine. Na pia lazima utambue mawazo yako mazuri ndo mawazo mabaya kwa mwenzako.
Nitakupa mfano
Kuna jamii ulaya inaitwa Gypsy nafikiri utakuwa unaitambua, wao kufanya kazi ni mawazo potofu, kwao mawazo sahihi ni kuomba omba tu, wapo ulaya na kazi zinapatikana lakini kazi yao ni kuomba. Hapa nataka kusema, mwanadamu na kiongozi safi lazima uheshimu mawazo ya mwenzako.
Mawazo yako mazuri unaweza kuya negotiate na unayemwona anamawazo potofu, na sio kuya impose kwa vitisho, kejeli na matusi.
Well said Mkama!
if somebody is happy with the "scales(ze gambaz)" let him/her enjoy his/her constitutional right and support the "gambaz" also if somebody enjoys being in "ze gwandaz" attire, let him/enjoy his Constitutional right to be in ze gwanza! and maandamano! tuvumiliane tu ndiyo demokrasia hiyo!