kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Duniani kote binadamu kukosolewa ni jambo la kawaida ukosoaji unamuimarisha na kumjenga kiongozi haswa kimatendo na kimienendo
Hapa duniani hakuna mkamilifu
Lakini serikali yetu pamoja na mkuu wetu wa taifa hapendi kukosolewa kabisa
Ukimkosoa utarajie kutumbuliwa ama kubadilishiwa kazi ama kuondolewa kabisa
Hii mienendo itaigharimu taifa
Mfano mdogo ni suala la utafiti wa bi malecela kuhusu uwepo wa,zika waziri angekanusha lakini angeagiza timu ya utafiti kujua ukweli kama ni kweli ama la lakini badala yake wamemfukuza kazi
Haya ni mambo ya ajabu kabisa hadi kufikia 2020 tutakua tumejaza counter book ya mambo ya kushangaza yanayoendelea Tanzania
Marekani, Urusi, Uingereza, Ufaransa na Japan yamesonga mbele kwa sababu ya kuwepo kwa ukosoaji na kiongozi anayafanyia kazi
Hiyo tz ya viwanda itakuepo vipi wakati kunakuwepo na maamuzi ya mtu mmoja
Nawasilisha
Hapa duniani hakuna mkamilifu
Lakini serikali yetu pamoja na mkuu wetu wa taifa hapendi kukosolewa kabisa
Ukimkosoa utarajie kutumbuliwa ama kubadilishiwa kazi ama kuondolewa kabisa
Hii mienendo itaigharimu taifa
Mfano mdogo ni suala la utafiti wa bi malecela kuhusu uwepo wa,zika waziri angekanusha lakini angeagiza timu ya utafiti kujua ukweli kama ni kweli ama la lakini badala yake wamemfukuza kazi
Haya ni mambo ya ajabu kabisa hadi kufikia 2020 tutakua tumejaza counter book ya mambo ya kushangaza yanayoendelea Tanzania
Marekani, Urusi, Uingereza, Ufaransa na Japan yamesonga mbele kwa sababu ya kuwepo kwa ukosoaji na kiongozi anayafanyia kazi
Hiyo tz ya viwanda itakuepo vipi wakati kunakuwepo na maamuzi ya mtu mmoja
Nawasilisha