Kusema ukweli ukilinganisha kati ya amsha amsha ya Lowassa mwaka 2015 na Lissu mwaka huu 2020 naona Lissu hawezi kufikia hata nusu ya kura milioni 6 alizozipata Lowassa katika uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Labda Vyama vyote vya Upinzani visimamishe mgombea urais mmoja ndio angalu wanaweza kufikia kura milioni 6 alizopata Lowassa mwaka 2015.
Kwa maaana hiyo ni aibu kumlinganisha au kumpabanisha Lissu na mgombea wa CCM Magufuli, hawalingani kwenye mizani ni sawasawa na kupima gunia la mahindi upande mmoja na gunia la sufi upande mwengine!!
Magufuli anarekodi ya kujivunia ndani ya miaka 5 hilo halina ubishi, anachotafuta uchaguzi huu ni kuongeza asilimia ya ushindi tu.
Tuache ushabiki pembeni huo ndio ukweli
Labda Vyama vyote vya Upinzani visimamishe mgombea urais mmoja ndio angalu wanaweza kufikia kura milioni 6 alizopata Lowassa mwaka 2015.
Kwa maaana hiyo ni aibu kumlinganisha au kumpabanisha Lissu na mgombea wa CCM Magufuli, hawalingani kwenye mizani ni sawasawa na kupima gunia la mahindi upande mmoja na gunia la sufi upande mwengine!!
Magufuli anarekodi ya kujivunia ndani ya miaka 5 hilo halina ubishi, anachotafuta uchaguzi huu ni kuongeza asilimia ya ushindi tu.
Tuache ushabiki pembeni huo ndio ukweli