oba
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 310
- 65
Tuhuma zote juu ya Serikali au taasisi au watendaji wake kuhusu ufisadi na hujuma kwa raslmali za taifa kama hili la hivi karibuni la Jairo na 50milions zake au Jen Shimbo kumiliki akaunti yenye trilioni 3 haziwezi kwenda hivhivi. Serilkali yaweza kufanya ujanja wa kuficha ficha aibu yake na watu wake lkn ijue kuwa hakuna aliyekumbatia moto asiungue. Serikali inajichimbia kaburi!
nawasilisha!
nawasilisha!