Huwezi kuichafua oil chafu, itakuchafua. RIP Dkt. Magufuli

Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.

Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.

Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya

Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.

Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.

Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
Mwizi wa pesa za watanzania,yani kibaka,jambazi sugu kaburi lake liistahili urefu wa 1km kwenda chini
 
Nimejitoa sadaka kwaajili ya watanzania wanyonge
Yani aliiba mpka akavimbiwa,heri ameenda kwa mashetani wenzake
IMG_20210409_074341.jpeg
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Unataka kwenye ripoti ya CAG namo kuwe na sehemu ya kuonesha mafanikio ya Magufuli?
Kweli wewe ni member wa kile kikundi
SUKUMA gang.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Tuondolee upumbavu wako hapa!!!
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.

Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.

Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya

Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.

Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.

Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
 
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.

Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.

Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya

Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.

Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.

Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
Umeisoma report yote? Na je umeshawahi kusoma report zingine za miaka ya nyuma? Kama umeshawahi kuzisoma sidhani kama ungekuja na hitimisho hili.
 
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.

Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.

Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya

Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.

Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.

Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.


Pumbavu aliyekuambia kazi ya Report za CAG au audit report ni kusifia nani ?
 
Hata kuondolewa kwa Bashiru Ikulu hii ni mipango ilikuwa imeandaliwa,walianza kwa kumchafua sana lakin sasa hivi huwezi sikia wanamwongelea sababu lengo lao limeshatimia!
We pimbi kaa kimya unakumbuka bimkubwa alienda tanga jiulize nani alipanga safari na ilikuaje acha kutetea watu usio waelewa
 
Ila hawataweza,Ukweli utajulikana tu.
Msitukumbushe waliompiga risasi TL, wakawaua kina Akwilina, Mawazo nk. Haikutosha wakawapoteza kina Ben Saanane, Azory Gwanda na maiti za kwenye viroba... msitusahaulishe kijana aliyepiga picha nyufa za hosteli... hatujasahau kwanini bunge live lilizimwa na chaguzi ovu zilizofuatia ikiwemo manunuzi ya wanasiasa malaya...
 
Hivi kwanini mnamchukulia magu kama mungu wenu!! Kiasi kwamba pamoja na kwamba hayupo, ila bado mnamtetemekea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatumchukulii Kama mungu ila tunaheshimu Mambo mazuri aliyafanya kwenye kipindi chake Yale mabaya tunamsamehe alikua no binadamu lakini hatutaki kumuhukumu hata wewe ukiwa Rais hautowafurahisha wote mkuu
 
Umeisoma report yote? Na je umeshawahi kusoma report zingine za miaka ya nyuma? Kama umeshawahi kuzisoma sidhani kama ungekuja na hitimisho hili.
Mkuu wewe unategemea aseme nini wakati sasa hivi suluali zinawadondoka tu?
 
Hatumchukulii Kama mungu ila tunaheshimu Mambo mazuri aliyafanya kwenye kipindi chake Yale mabaya tunamsamehe alikua no binadamu lakini hatutaki kumuhukumu hata wewe ukiwa Rais hautowafurahisha wote mkuu
Mtajikomba mpaka kwenye kaburi
 
Back
Top Bottom