Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,935
- 54,151
Kwenye Shimo La Wanyang'anyiIla kwakuwa Mungu siyo Athuman basi akaamua kutukomboa
Hawa Watu Hawana Utu Kabisa
Kwenye Shimo La Wanyang'anyiIla kwakuwa Mungu siyo Athuman basi akaamua kutukomboa
Mwizi wa pesa za watanzania,yani kibaka,jambazi sugu kaburi lake liistahili urefu wa 1km kwenda chiniSiyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.
Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.
Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya
Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.
Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.
Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
Achana n huyo pisi kali wa matagaSo tatizo la CAG ni kusema ukweli ama?
Ndugu ZanguJambazi mkuu
Yani aliiba mpka akavimbiwa,heri ameenda kwa mashetani wenzakeNimejitoa sadaka kwaajili ya watanzania wanyonge
afadhali kafa daaahNdugu Zangu
Mniombee
Hawa ndiyo maadui wa taifa letuKwenye Shimo La Wanyang'anyi
Hawa Watu Hawana Utu Kabisa
Tanzania Ni TajiriHawa ndiyo maadui wa taifa letu
Mbinu zozote za kumchafua hayati Hazitafanikiwa ila wanaandaa kifo cha CCM 2025.Kuna jitihada za kuzima legacy ya mwendazake. Why? Kwa sababu mwendazake ameuawa! Inside job
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.
Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.
Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya
Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.
Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.
Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
Hawa ndiyo maadui wa taifa letu
Kuna jitihada za kuzima legacy ya mwendazake. Why? Kwa sababu mwendazake ameuawa! Inside job
Umeisoma report yote? Na je umeshawahi kusoma report zingine za miaka ya nyuma? Kama umeshawahi kuzisoma sidhani kama ungekuja na hitimisho hili.Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.
Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.
Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya
Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.
Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.
Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.
Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.
Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya
Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.
Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.
Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.
We pimbi kaa kimya unakumbuka bimkubwa alienda tanga jiulize nani alipanga safari na ilikuaje acha kutetea watu usio waelewaHata kuondolewa kwa Bashiru Ikulu hii ni mipango ilikuwa imeandaliwa,walianza kwa kumchafua sana lakin sasa hivi huwezi sikia wanamwongelea sababu lengo lao limeshatimia!
Msitukumbushe waliompiga risasi TL, wakawaua kina Akwilina, Mawazo nk. Haikutosha wakawapoteza kina Ben Saanane, Azory Gwanda na maiti za kwenye viroba... msitusahaulishe kijana aliyepiga picha nyufa za hosteli... hatujasahau kwanini bunge live lilizimwa na chaguzi ovu zilizofuatia ikiwemo manunuzi ya wanasiasa malaya...Ila hawataweza,Ukweli utajulikana tu.
Hatumchukulii Kama mungu ila tunaheshimu Mambo mazuri aliyafanya kwenye kipindi chake Yale mabaya tunamsamehe alikua no binadamu lakini hatutaki kumuhukumu hata wewe ukiwa Rais hautowafurahisha wote mkuuHivi kwanini mnamchukulia magu kama mungu wenu!! Kiasi kwamba pamoja na kwamba hayupo, ila bado mnamtetemekea!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wewe unategemea aseme nini wakati sasa hivi suluali zinawadondoka tu?Umeisoma report yote? Na je umeshawahi kusoma report zingine za miaka ya nyuma? Kama umeshawahi kuzisoma sidhani kama ungekuja na hitimisho hili.
Mtajikomba mpaka kwenye kaburiHatumchukulii Kama mungu ila tunaheshimu Mambo mazuri aliyafanya kwenye kipindi chake Yale mabaya tunamsamehe alikua no binadamu lakini hatutaki kumuhukumu hata wewe ukiwa Rais hautowafurahisha wote mkuu