BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
UPUUZI MTUPU!!! Kadanganye wapuuzi wenzio wasiojua wizi, ufisadi, unafiki, uongo, ukatili na uuaji wa dhalimu magufuli. Mwenyezi Mungu ashukuriwe sana kwa kutuondolea nchini hilo janga kubwa sana la Kitaifa.
Siyo siri tena, nimebaini mchezo mchafu unaendelea kwa lengo la kumchafua Hayati Dkt Maguli.
Taratibu wanafiki wanaanza kujionesha mmmoja mmoja, wanahaha kama mtu aliyekula nyama ya binadamu. Mpaka kufikia June wanafiki wote watajulikana.
Nizungumzie Report ya CAG. Sijaona mahali popote ikionesha mafanikio ya Hayati JPM, Report mzima imejaa masemango, kwamba JPM hakuna jema alilofanya
Mfano CAG kasema Stand ya Magufuli ya Mbezi itasababisha foleni njia ya Morogoro, ooh my God ilimradi tu mradi uonekane hauna maana kasahau fursa zinazopatikana pale.
Kubwa nyingine kuhusu mradi wa umeme wa Bwawa la Nyeyere anasema Mradi unatumia plan za miaka ya sabiini amesahau kwamba mradi huu ulianzishwa na mwalimu Nyerere JPM alikuja kuendeleza tu.
Tushajua hizi ni njama za kumchafua mzee. Sasa fanyeni mtakavyo ila jueni huyu mzee ana kundi kubwa la watu ambao hawako huko twitter, insta. Wakiona mambo yanaenda kombo hawatavumilia.