wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,932
- 4,534
Pamoja na hofu tuliyonayo vijana wengi juu ya wanawake na usaliti wao wa kutisha lakini tafiti mbalimbali zimeonesha kuwa wanaume wengi waliofanikiwa hapa duniani nyuma yao kuna wanawake walioteseka nao au kuwapa moyo au kuwaombea hadi kujikuta wakifanikiwa kimaisha.
Ni kweli wanawake ni pasua kichwa,ila ukibahatika ukapata mwanamke mwaminifu na anayekupenda kwa dhati 'true love' nakuhakikishia kuwa kamwe huwezi kufa masikini,labda usiwe na plan yoyote ktk maisha yako,ila kama una plan lazima ufanikiwe.
Wanawake wametesa na kusababisha mauti kwa wanaume wengi sana kote duniani na wanawake hao hao wamefanya wanaume wengi duniani watajirike.Unapokuwa na mrembo unayempenda naye anakupenda lazima utajituma kwa bidii kufanya kazi ili uwe na pesa,nyumba nzuri,gari zuri na n.k,tofauti na kama unaishi ki bachelor,leo una Amina kesho una Janet kwa staili hiyo ya maisha ni ngumu sana kufanikiwa.
Ukiwa na mwanamke mnaependana lazima utahangaika ili kujenga future ya watoto wenu.Behind every man's success there's a woman.
Ni kweli wanawake ni pasua kichwa,ila ukibahatika ukapata mwanamke mwaminifu na anayekupenda kwa dhati 'true love' nakuhakikishia kuwa kamwe huwezi kufa masikini,labda usiwe na plan yoyote ktk maisha yako,ila kama una plan lazima ufanikiwe.
Wanawake wametesa na kusababisha mauti kwa wanaume wengi sana kote duniani na wanawake hao hao wamefanya wanaume wengi duniani watajirike.Unapokuwa na mrembo unayempenda naye anakupenda lazima utajituma kwa bidii kufanya kazi ili uwe na pesa,nyumba nzuri,gari zuri na n.k,tofauti na kama unaishi ki bachelor,leo una Amina kesho una Janet kwa staili hiyo ya maisha ni ngumu sana kufanikiwa.
Ukiwa na mwanamke mnaependana lazima utahangaika ili kujenga future ya watoto wenu.Behind every man's success there's a woman.